Hii ilikuwa mwaka 2008, shule ya bweni ya wavulana "Bwiru boys sec" walitucharaza bakora

Hii ilikuwa mwaka 2008, shule ya bweni ya wavulana "Bwiru boys sec" walitucharaza bakora

Reginald L. Ishala

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2011
Posts
3,810
Reaction score
6,789
Tulicharazwa bakora na wanafunzi wa sekondari ya bweni "Bwiru Boys".

ILIKUWA HIVI...

Kulikuwa na upinzani mkali wa kabumbu kwa timu za shule kati ya shule yetu ya sekondari yaani "KITANGIRI SEC" na shule ya bweni ya wavulana yaani "BWIRU BOYS SEC".

Bwiru Boys wana viwanja viwili vya mpira wa miguu, Kiwanja cha chini (OT) na kiwanja cha juu (ANFIELD).

Waliupenda sana uwanja huo wa juu & hawakuwa wamefungwa pale kwa muda mrefu, "ANFIELD" a.k.a "MAJOGOO WA JIJI".

Wanakutana na KITANGIRI SEC ilokuwa formula sana na ikiwa imetoa vijana waloshika nafasi ya tatu (3) kwa timu ya Taifa ya Vijana Tanzania NGORONGORO HEROES pale SUDAN.

KUMBUKA: Mwl. Mkuu wa KITANGIRI SEC, JOYCE MANYANDA ameshasema kosa la kupigana huna shule.

Mwanzo wa dakika 45 za First Half, KITANGIRI SEC 3-0 BWIRU BOYS,

Kipindi cha pili tunawapiga MBILI zingine pale kwao ANFIELD, Game linaisha 5-0. Wote wanachuma fimbo wanaanza kutuchapa ovyo ovyo,

Tulitengeneza mistari ili wasichana wetu wakimbie tukachapwa wanaume tu.
 
Tulicharazwa bakora na wanafunzi wa sekondari ya bweni "Bwiru Boys".

ILIKUWA HIVI...

Kulikuwa na upinzani mkali wa kabumbu kwa timu za shule kati ya shule yetu ya sekondari yaani "KITANGIRI SEC" na shule ya bweni ya wavulana yaani "BWIRU BOYS SEC".

Bwiru Boys wana viwanja viwili vya mpira wa miguu, Kiwanja cha chini (OT) na kiwanja cha juu (ANFIELD).

Waliupenda sana uwanja huo wa juu & hawakuwa wamefungwa pale kwa muda mrefu, "ANFIELD" a.k.a "MAJOGOO WA JIJI".

Wanakutana na KITANGIRI SEC ilokuwa formula sana na ikiwa imetoa vijana waloshika nafasi ya tatu (3) kwa timu ya Taifa ya Vijana Tanzania NGORONGORO HEROES pale SUDAN.

KUMBUKA: Mwl. Mkuu wa KITANGIRI SEC, JOYCE MANYANDA ameshasema kosa la kupigana huna shule.

Mwanzo wa dakika 45 za First Half, KITANGIRI SEC 3-0 BWIRU BOYS,

Kipindi cha pili tunawapiga MBILI zingine pale kwao ANFIELD, Game linaisha 5-0. Wote wanachuma fimbo wanaanza kutuchapa ovyo ovyo,

Tulitengeneza mistari ili wasichana wetu wakimbie tukachapwa wanaume tu.
Nakumbuka hizo fimbo nilikuwa form 2 Bwiru hapo?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Zamani shule za boarding zilikuwa tamu sana, hasa uzipate zile za boys za vipaji maalumu.
Ambao hamjasoma hizi special schools nawahurumia sana.
Ndiyo, Mkuu!
Hii shule BWIRU BOYS au BWIRU TECH ilikuwa ni ya vipaji maalum.

Ndugu pacha wake ni BWIRU GIRLS TECH SEC
 
Mkuu Kasomi yetu ilikuwa umbali wa 12KM au 15KM kutoka maskani mpaka pale sikonga.

Tulitembea na hiace wakati ule nauli ya pupil na dents ni 50 shilingi.

Wakati mwingine tulipiga lege tulipogomewa na makonda kwamba tusipande.

Ilikuwa desturi wanapandishwa wao kwanza mpaka waishe ma manzi maana wao walikuwa wakila viepe na chipsi za makonda.

Tulikaa/tulisimama mara kwa mara pale Bwiru kituoni masaa 2 yaani saa 8-10 jioni ndo mabinti chakula ya makondakta waishe na sisi wa kiume ndiyo tupande hiace kuelekea maskani.
 
Back
Top Bottom