Innocent Prince
Member
- Apr 7, 2012
- 21
- 4
Wanajf; Sitaki kuamini kama hii system ya kuweka wanafunzi barabarani ili msafara wa kiongozi flan apite.
Nakumbuka 2009,sikumbuki tarehe,nlikua form 6 pale Minaki chini ya Head master JJ Kaaya,tulitangaziwa sku moja kabla,kwamba kesho yake patakua na msafara wa makamu wa rais,Dkt Shein akielekea kisarawe,kwahiyo kuanzia saa moja asubuhi,kila mwanafunzi awepo barabarani na tawi lolote.
Sku ilipotimia watu tukaenda,tukaanza kuimbishwa nyimbo za CCM namba wani;time ilienda mpaka saa saba mchana,wachache wetu tukaamua kuondoka maeneo yale ya barabara.
Tarifa nlizo zipata ni kwamba mheshimiwa alipita saa tisa na nusu alasiri,baada ya hapo rollcall ikapita.
Kesho yake kwa wale ambao tuliondoka,tulipigwa adhabu kali,we spent almost two weeks tukiitumia. Kila nikikumbuka,nafadhaika sana;sjui kama hii sytem bdo ipo.
Nakumbuka 2009,sikumbuki tarehe,nlikua form 6 pale Minaki chini ya Head master JJ Kaaya,tulitangaziwa sku moja kabla,kwamba kesho yake patakua na msafara wa makamu wa rais,Dkt Shein akielekea kisarawe,kwahiyo kuanzia saa moja asubuhi,kila mwanafunzi awepo barabarani na tawi lolote.
Sku ilipotimia watu tukaenda,tukaanza kuimbishwa nyimbo za CCM namba wani;time ilienda mpaka saa saba mchana,wachache wetu tukaamua kuondoka maeneo yale ya barabara.
Tarifa nlizo zipata ni kwamba mheshimiwa alipita saa tisa na nusu alasiri,baada ya hapo rollcall ikapita.
Kesho yake kwa wale ambao tuliondoka,tulipigwa adhabu kali,we spent almost two weeks tukiitumia. Kila nikikumbuka,nafadhaika sana;sjui kama hii sytem bdo ipo.