Hii ime kaa vipi..

Hii ime kaa vipi..

ThugMaster

JF-Expert Member
Joined
Aug 24, 2015
Posts
1,594
Reaction score
2,234
UFAFANUZI KUHUSU NENO WANAUME WA DAR.
wanaume wa Dar ni tabia haijalishi unaishi wap, mfano we mwanaume :-

1. Unaishi Tabora ndani afu unamtext mwanaume mwenzako una mwita My, dear etc wewe pia ni mwanaume wa Dar[emoji85]
2. Unaishi Mwanza ila wimbo wako bora ni "ninogeshe" ya nandy, nampa papa we nae ni mwanaume wa Dar[emoji125]‍♂[emoji125]‍♂
3. Uko arusha ila unakula soda na biscuits unashiba na kulala kabisa Usiku, we ni mwanaume wa Dar[emoji32]
4. Unaishi kigoma ila TV show unazoangalia ni shilawadu, chereko na ng'aringa'ri,na nyimbo zako tarabu wewe ni mwanaume wa Dar[emoji12]
5. Unakaa mbeya ila unaagiza chips yai afu unakazia iwe na tomato nyingii, we ni mwanaume wa Dar[emoji4][emoji4]
6. Uko Iringa ila Unachatt kwa kuandika x badala ya s, lmao, lol ,jomon [emoji3][emoji3] wewe ni wa Jiji la Makonda[emoji3][emoji3]
7. Unavaa surual mebana chin afu unaivuta usawa wa kigimbe wew ni mwanaume wa dar[emoji15]
8. Unaishi Musoma alafu uvaa Helen na nyweli unapaka rangi ya nyumba Dar[emoji35][emoji35]
9. Unaishi Simiyu ila uktoka kuoga unavua kila kitu ndo upake mafuta, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji41][emoji41]
10. Unaishi mtwara ila unaweka status picha ishirin, wewe ni mwanaume wa Dar[emoji850][emoji4]

Aman iwe nanyi wanaume wa Dar mlioko mikoani[emoji35]
 
Mwanaume unanunua muwa unaomba umenyewe haitoshi kabisa unaomba ukamuliwe unywe juisi?
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]

no 9 kumbe wanaume wa dar ndo wako hvyoo
 
Mwanaume kuoshwa miguu na mwanaume mwenzio

mwanaume unapiga picha ulimi nje
 
Mbona wanaume wa Dar mmekaa kimya? Kweli mko hivyo?
 
Back
Top Bottom