Hii Imekaa vipi?

Hii Imekaa vipi?

We ulitongozwa?! Hamjatulia wote..Tena mafagio ya jiji!!!

...aaaah jamani BJ, yaani huamini ule msemo " LOVE AT FIRST SIGHT" ?
Kanifurahisha kweli Nyamayao kwakuwa muwazi na mkweli :ranger:
 
i hope ulitumia kinga ulipokuwa mzigoni............
 
Yaani bado unaongopewa na machangu kuwa wako customer care tigo au voda? Pole. Mbona sasa jioni ulimpitia "Kiwanja flani" na sio kazini? Ujue ndio customer care wa kiwanja hicho hicho ulipomkuta. Kama unabisha nenda next weekend utamkuta.

Kama ndume nyingine zinazovaa flana za makampuni makubwa Friday na kujifanya wanafanya kazi huko, na machangu nao hivyo hivyo wanafanya.

Anyway, nafikiri ulitumia zana na uliinjoi. Mambo ya zambi ni wewe na mola wako. Baada ya muda dawa itakua madukani, we endelea tu kufaidi customer care
 
We bana si ndo kutongoza huko, au wewe ulitaka umwambie nini,
 
...aaaah jamani BJ, yaani huamini ule msemo " LOVE AT FIRST SIGHT" ?
Kanifurahisha kweli Nyamayao kwakuwa muwazi na mkweli :ranger:


Nauamini mkuu ila mleta thread ni kama vile anausaga upande wa customer care, kumbe walishiriki wote kitendo!..
Nyamayao kagonga straight kwa point, hataki kuzungushana au i lavyuuu nyingii mpaka headache,ha ha
 
Nauamini mkuu ila mleta thread ni kama vile anausaga upande wa customer care, kumbe walishiriki wote kitendo!..
Nyamayao kagonga straight kwa point, hataki kuzungushana au i lavyuuu nyingii mpaka headache,ha ha
Leo naona imekolea si mchezo!.
 
Imekaa ki sekondari sekondari.............tena form two fulani hivi!:A S angry:
 
Back
Top Bottom