Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Paul Makonda si mtaalamu wa saikolojia, Paul Makonda hana taaluma ya ukocha wa mpira wa miguu.
Lakini anapewa airtime ya kutosha kwenye timu
ya taifa ilihali tunao legendary kibao kama Ally Mayai, Leodger Tenga n.k
Siasa kwenye michezo haikubaliki.
Lakini anapewa airtime ya kutosha kwenye timu
ya taifa ilihali tunao legendary kibao kama Ally Mayai, Leodger Tenga n.k
Siasa kwenye michezo haikubaliki.