Hii imekaaje kisheria na itanibana kwa kipengele gani, na nijiandae na nini?

Hii imekaaje kisheria na itanibana kwa kipengele gani, na nijiandae na nini?

24>28!!?? Kwa maelezo hayo, sijaona sababu ya kuacha mtoto wako! Na hata binti, labda kuna mengine unaficha.
🤣🤣Kuna binti nilimpeleka kumtambulisha kwa mama yangu kwa ajili ya kumuoa,Mama alipiga story na yule binti kwa masaa 7 tu.
Jioni yake nilipomuuliza amemuonaje mkwe wake? alinijibu 'binti Ni mzuri Ila amekuzidi umri' Ilhali binti nilikuwa nmemzidi miaka 2!!

Nililazimisha nikamuoa,kilichonikuta nilielewa kwanini marehemu mama yangu alisema nmezidiwa umri.
 
[emoji1787][emoji1787]Kuna binti nilimpeleka kumtambulisha kwa mama yangu kwa ajili ya kumuoa,Mama alipiga story na yule binti kwa masaa 7 tu.
Jioni yake nilipomuuliza amemuonaje mkwe wake? alinijibu 'binti Ni mzuri Ila amekuzidi umri' Ilhali binti nilikuwa nmemzidi miaka 2!!

Nililazimisha nikamuoa,kilichonikuta nilielewa kwanini marehemu mama yangu alisema nmezidiwa umri.
Hahahahahahahahaha we jamaa noma, kwahio bimkubwa alimaanisha nini kutumia lugha ya umri
 
Kama kuna wanaume wajinga na wapumbavu, basi mleta mada huenda ni mmoja wapo. Yaani umetafuta kamba mwenyewe, ukatengeneza kitanzi na sasa unahangaika kujinyonga!

Unajihangaisha bure, wakati suluhisho kamili liko mbele yake. KAA KIMYA, KATA KABISA MAWASILIANO NA HUYO BINTI AU NDUGU ZAKE, NENDA ZAKO KAPAMBANE NA MAISHA YAKO. ACHANA NAYE NA ACHANA NAO.

Kuhusu mtoto wako, hilo usiumize kichwa kabisa. Mtoto yupo kwa mama yake (binti uliyezaa naye) na binti uliyezaa naye yuko kwao. Hiyo maana yake ni kuwa mtoto wako yuko kwenye mikono sahihi, salama salimini, utatunzwa na kukua, akikua na kupata akili atakutafuta. Usihangaike hata kutoa senti tano ya matunzo. Narudia tena usitoe hata senti tano. Be a man.
Baba sio jina la ubatizo ni majukumu mkuu. Afanye utaratibu kupata hicho cheti alee mtoto wake tu ila kutelekeza mtoto huo si kitu chema.
 
[emoji1787][emoji1787]Kuna binti nilimpeleka kumtambulisha kwa mama yangu kwa ajili ya kumuoa,Mama alipiga story na yule binti kwa masaa 7 tu.
Jioni yake nilipomuuliza amemuonaje mkwe wake? alinijibu 'binti Ni mzuri Ila amekuzidi umri' Ilhali binti nilikuwa nmemzidi miaka 2!!

Nililazimisha nikamuoa,kilichonikuta nilielewa kwanini marehemu mama yangu alisema nmezidiwa umri.
[emoji23][emoji23][emoji23] mother aliona mbali wakati wewe uliwaza utamu tu.
 
[emoji1787][emoji1787]Kuna binti nilimpeleka kumtambulisha kwa mama yangu kwa ajili ya kumuoa,Mama alipiga story na yule binti kwa masaa 7 tu.
Jioni yake nilipomuuliza amemuonaje mkwe wake? alinijibu 'binti Ni mzuri Ila amekuzidi umri' Ilhali binti nilikuwa nmemzidi miaka 2!!

Nililazimisha nikamuoa,kilichonikuta nilielewa kwanini marehemu mama yangu alisema nmezidiwa umri.
Daah sijui maza ako aliona nini kwa huyo binti.....ndani ya muda mfupi[emoji23][emoji23]
 
Daah sijui maza ako aliona nini kwa huyo binti.....ndani ya muda mfupi[emoji23][emoji23]
Wamama kupitia experience ya maisha waliyonayo wanajua mambo mengi unakuta mmama hajaenda shule lakini wewe njoo na degree yako ya saikoloji still anakugalagaza kwenye kusoma watu
 
Toka tarehe 01/08/2022 nilisitisha hilo zoezi,.. Pia dhumuni la uzi huu, ni kwamba kwa muonekano wao watakwenda ustawi wa jamii, kwa jinsi ninavyo waona ujio wao, hivyo lengo ni kupata ushauri juu ya hili, mana lengo langu halikua kutelekeza, ila wamezingua nami nimezingua, ishu nilitaka kujua kisheria hii imekaaje mkuu
Kama wakipeleka kadi ya Kliniki na ikaonekana wewe ndiye baba ya huyo mtoto, lazima utoe pesa za matunzo hakuna ujanja ujanja. Kosa kubwa tunalofanya ni kuanza kuzaa bila ya kujipanga vya kutosha kuhudumia familia zetu.
 
Back
Top Bottom