Hii imekaaje kitaalamu?

Hii imekaaje kitaalamu?

NIMEONA

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2019
Posts
3,862
Reaction score
5,693
kwema? naamini niko jukwaa sahihi.....but i know it might be seen crazy what i am about to say/ask

kwanini mtu hachukizwi na chake (kama anachukizwa basi ni kwa kiasi kidogo tu) hata kama ni kinyaa?

mifano ipo mingi lakini michache ni harufu ya hewa chafu, harufu ya kikwapa, harufu ya boksa (chupi) n.k....

hii ipoje kibaiolojia?
 
Back
Top Bottom