Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,810
- 6,789
Ukishusha mzigo mzito zina jam, Zinazima.Utofauti upi?
Hazipakui High Quality Pure HD.
Zina viwango vikubwa vya SAR tofauti na zile za Ulaya na America.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishusha mzigo mzito zina jam, Zinazima.Utofauti upi?
Mimi na DURO aka TECNO yangu napeta KWA raha zangu sidhani kama kuna simu inaonyeshaga malaika mbingun[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maisha nyuma ya keyboard, unakuta hii comment imeandikwa na huyuTecno
Itel
Infinix
Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34
Ni kuzidiana katika kufeli tu
Una utani wa ngumi sioMaisha nyuma ya keyboard, unakuta hii comment imeandikwa na huyu
Usifananishe gari na simu afu Kuwa serious mkuu hivi vitu hatuangalii majina bali specifications. Unapoongelea bmw tafuta na gari ya Toyota inayoendana sifa na aina ya bmw weka ushabiki pembeni.
Hii ni verified ID. Ifuatilie vizuriMaisha nyuma ya keyboard, unakuta hii comment imeandikwa na huyu
View attachment 1969714
Na huo ndo ukweli ndugu zangu...Mkuu nunua iphone au Samsung Ili uwafurahishe watu,
Dunia haina usawa
Kuanzia mavazi,malazi, chakula,ndinga nzuri majumba mazuri
Vyote hivi hufanyika kulingana na walimwengu wanataka Nini .ukibisha utapata taabu Sana.
Bodi wangu alinunua Toyota Prado bila kupenda kisa tu walimwengu hawakuipenda Toyota Corolla yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Haa HaaAl Hushoom[emoji38][emoji38][emoji38]
Nilipanda Gairo kwenda Moro tu nilijuta.
Haa HaaNi wivu...wivu tu.
Specs ndio zinaleta classyKivipi unafananisha basi na simu? Na kama class ndo inakufanya utumie simu fulani bila kuangalia specifications ni wazi unahitaji ukombozi wa kifikra.
1. Nina 4 ya 28.Tecno
Itel
Infinix
Ni upuuzi kama upuuzi mwingine ni sawa na
Div. IV point 28
Div. IV point 32
Div. IV point 34
Ni kuzidiana katika kufeli tu