MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Just from the title. Kuwa na amani BabaMorgan, binadamu sisi tunaendeshwa na matamanio plus egos zisizo na maana. Tamaa ya mwili na ubinafsi,...comparisons na characters....all ni tukishamaliza basics yanabaki matamanio.Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Vitu vya low quality vinakuwa na watuamiaji wengi kuliko vya high quality.... Kigezo kikubwa haswa ni Quality.... bt that doesn't mean hakuna Sumsung ya low quality.Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Amini hivyo......Weka vyeti hapa mkuu, yani topic za what are causes, mention merits and demirits, define law of use and dis use theory ukashindwa ila haya ya ufafanuzi wa mantiki ukaweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za kuangalizia ambazo una kopi hadi jina la unayempiga chaboSasa jeuri gani ya fedha ambapo eti mtu anamiliki Samsung au Apple halafu hata bodaboda ya kumuingizia kipande kwa siku hana [emoji12][emoji12]?
Wote si wanachama wa UN.Kwamba Tanzania na Marekani zote ni nchi sio!!!
Tecno inayo overheat ni toleo gani afu katika uelewa wako wa masuala ya simu hujawahi kusikia kasoro za Samsung au apple?Tecno zina overheat hii kitu kwenye Samsung Hakipo ,Ram ya Tecno na Samsung ni tofauti ,Tecno Simu za ovyo
Kuhusu maji Kagera inaweza kuwa nambari moja ulimwenguni.Hahaaaaaa chizi maarifa ww, we utakuwa mhaya! Ushakula senene sasa unatafuta makabila unayotaniana nayo yakumwage maji
Sent using Jamii Forums mobile app
Smart comment kutoka kwa smart person Kila la heri umemaliza kabisaJust from the title. Kuwa na amani BabaMorgan, binadamu sisi tunaendeshwa na matamanio plus egos zisizo na maana. Tamaa ya mwili na ubinafsi,...comparisons na characters....all ni tukishamaliza basics yanabaki matamanio.
As long as kitu unachokitumia kinasave purpose then inatosha. Ni sawa na kupanda ndege moja hiyo.hiyo business class versus economy na first class kwa baadhi ya airlines. Mtatake off pamoja na mtatua pamoja, ikipata madhara angani wote mko katika equal chances ya survive and perish.
Be happy, cherish your tecno whatever oppo itel because what you have in your hand is your kingdom.
Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
kwa upande wangu nataka cmu iwe na vigezo navyotaka mfano. Processor ya juu, Camera kali HD , kioo kiwe 90 to 100% Screen body ratio, Ram kubwa mwishoni ni storage ya kufa mtu kutokana na shughuli zangu...Unakuna pale unapoweza.
Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.
Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.
1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.
Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.
Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.
Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?
From northern part of Tanzania.
Kudharau ni tabia tu ya mtu, mtu aliye tajiri wa ukweli hana muda wa kuonyesha kujikweza, ila kuna hawa wa pato la kati ndio tatizo, show off nyingi sana, sasa wewe kama unatumia Samsung anayetumia itel anakuhusu nini, tena ilitakiwa umpongeze unaweza chat naye kwa what app, au unataki abaki kitochi
Kuna smartphone za tecno zinauwezo mkubwa kuliko za Samsung, ukiona mtu anazidiss ujue anauelewa mdogo kuhusu smartphone
Hizo tafiti za HIV ni za dunia au ni za hapa Bongoland? Na za mwaka gani? Na vigezo gani vilitumika kuzikusanya mpaka kuja kutoa ripoti?kwa upande wangu nataka cmu iwe na vigezo navyotaka mfano. Processor ya juu, Camera kali HD , kioo kiwe 90 to 100% Screen body ratio, Ram kubwa mwishoni ni storage ya kufa mtu kutokana na shughuli zangu...
Nkitumia tecno au itel itakufaa siku 2
#Natumia infinix note 10 Pro ( Sijawahi kutumia infinix ila hii wamehitahidi )
mwisho.
##. Tafiti zinasema kila mwezi kuna maambukizi mapya 200 ya HIV kwa vijana kati umri wa miaka 17 mpka 40..
nawasilisha
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kajaribu Camon 17 Pro halafu urudi na majibu hapa...Tofauti ipo hizo simu ulizotaja zinapata sana moto, baada ya muda fulan huwa zinasumbua network na pili Zina great effect kwenye Radiation
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Tena unakuta hata bundle la mwezi elfu 20 au 30 hana uwezo wa kulinunua [emoji23][emoji23][emoji23]Umemaliza. Mtu anamiliki simu ya gharama ukimuuliza ina impact gani kwenye maisha yake anabaki kusema Tecno inapata joto.
Una Sumsung unaendesha boda, yaani hata Paso huna [emoji12][emoji12][emoji12]Mimi natumia samsung sasa kuna kipindi simu yangu ilianguka hadi chini wakati naendesha boda yangu na ikapasuka kioo na mimi sikuwa vizuri mfukoni ikabidi niiweke pending nichukue tecno ya wife kwakuwa naendesha kwa kutumia bolt ili niiendelee kuwa online wakati najipanga kuirekebisha simu yangu.Sasa basi naweza nikawasha data ya bolt ili nipate request nashangaa mbona nakaa sana sipati request kumbe simu inajizima data yenyewe nakuwa offline pasipo kujua so ikabidi nimrudishie wife simu yake nkarekebisha ya kwangu hadi sasa sijapata hiyo changamoto kama niliyopata toka tecno