Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Hii imekaaje kudharau watumiaji wa simu za Tecno na Itel ilihali wote mnakuwa na access ya vitu vinavyofanana

Kwa tafsiri hiyo ukiwa unamiliki bmw unakuwa na kibali cha kumdharau anayemiliki Passo kuna wakati tujifunze kuappreciate vitu vya watu.

Kuna mataasisi yenye wataalamu yanasimamia standard ya hivi vitu ukiona bidhaa imeingia sokoni ni wazi kuwa imekidhi viwango vilivyowekwa.

Sasa wewe unayejifanya mjuaji na akili zako za darasa la saba b unakomaa kuwa Tecno sio simu ilihali hata basics za kutengeneza calculator huzijui.

unajua kwanini kwenye league za magari hakuna kelele sana ndugu au dharau kama unavyosema!!!
sababu wengi wenye magari ya bei chee wanakubaliana na hali zao,na kupata gari ya hadhi kubwa ni zoezi lingine gumu kiasi maana kwenye gari kubwa mpaka kuihudumia inataka nawewe uwe vizuri,tofauti na kwenye simu.


mtu ana uwezo wa kununua simu nzuri tu,lakini na kisogo chake huyo mpaka kkoo anakwenda kujiwisha galasa,hapa ni ushamba tu unasumbua wala sio maamuzi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nina phantom 8 yangu hapa wenye vi sum sung vyao wasubiri.

tecno hata iwe kubwa au nyingi kiasi gani inakunyima kujiamini,hizi simu sijui zina nini[emoji1787][emoji1787].

mimi naamini popote unapokaa na watu,lazima uwaambie hiyo simu ina storage ngapi na ram kiasi gani,na ni lazima uwajaribishie camera[emoji23][emoji23][emoji23]bisha.
 
Al Hushoom[emoji38][emoji38][emoji38]
Nilipanda Gairo kwenda Moro tu nilijuta.
Nilijichanganya siku moja nimetoka Mwanza nnahitaji kuunganisha kwenda Mbeya.... Ee bana ee, huku na kule basi zote nzuri zimejaa... Na nikiangalia lazima nisafiri. Alfajiri kigiza giza napata ticket ya Al Hushuum... Mara nipo ndani ni kunguni tupu afu nasikia nje mdada mmoja, nadhani alikuwa konda anaongea... "Ali Hushuum leo imependezaaaaa..." aisee karibu nishuke!
 
Phanton 8 ndugu Tecno walijitahidi sana. Siyo simu ya mchezo
tecno hata iwe kubwa au nyingi kiasi gani inakunyima kujiamini,hizi simu sijui zina nini[emoji1787][emoji1787].

mimi naamini popote unapokaa na watu,lazima uwaambie hiyo simu ina storage ngapi na ram kiasi gani,na ni lazima uwajaribishie camera[emoji23][emoji23][emoji23]bisha.
 
usiwe mbishi bila kujisomea.

unajua tecno,infinix na itel zinazalishwa wapi???na kuuzwa mataifa yapi??kwanini??

unajua kwanini zinauzwa bei ndogo kuliko simu sawa za kampuni kubwa??
Navyojua mimi kila mzalishaji lazima awe na target ya soko lake na kuna sababu anaziconsider kama ushindani na gharama za kufikisha bidhaa kwa watumiaji wake kwa hiyo kukuta bidhaa inapatikana kwa wingi ukanda fulani sio ishu na kuna mataifa yana restrict bidhaa fulani ili kulinda soko la ndani.

Na kuhusu simu kuuzwa kwa bei ndogo ni marketing strategy ya kuwavutia wateja wengi na kuwashinda competitors wako.
 
Hakuna anayemdharau mtumiaji wa TECNO au AITEL isipokua tunawatania Kama tunavyowatania wasukuma kwa ushamba walionao, au wangoni kwa kupenda pombe na wanawake, au wakinga kwa uchawi, au waha kwa uchafu na ubishi, au wapare kwa ubahili au waluguru kwa kuongea upupu au wakurya kwa tabia zao mbaya.
Mi huwa najua ni jokes kumbe kuna watu wanachukulia serious [emoji1][emoji1]
 
Wanaume wa Dar unapata 4 ya 28 unajisifu?
Umeunga unga elimu mpaka kinyaa
Sikia ndugu, soma std 7 faulu, soma f 1 hadi 4 faulu soma f 5 na 6 faulu nenda University. Kuunga unga ina maana shule wewe umelazimisha tu umetumia ujanja ujanja[emoji23][emoji23]
Ha ha nimeshangaa mtu alipiga 4 na anasema [emoji1][emoji1]
 
Wanaume wa Dar unapata 4 ya 28 unajisifu?
Umeunga unga elimu mpaka kinyaa
Sikia ndugu, soma std 7 faulu, soma f 1 hadi 4 faulu soma f 5 na 6 faulu nenda University. Kuunga unga ina maana shule wewe umelazimisha tu umetumia ujanja ujanja[emoji23][emoji23]
Nikuambie kitu we boya.
Wale ma trafik wanaokuweka roho juu ukiwa unaendesha hiyo Prado ya shemeji yako wote Ni divisheni foo Tena point zaidi ya hizo 28.
Ukienda kituo Cha polisi wale wanaokuambia uzunguke kaunta ndio hao unaowadharau.
Mataga wanaoendeshwa kwe viete pamoja na hao madereva wao na wengi wanao sifu na kuabudu wapate teuzi Ni hao hao div foo pt 29.
Wenye wani Kama wewe Ni mainjinia lkn mkiwaona walioteuliwa mnatamani mkajifiche chooni.
 
Nikuambie kitu we boya.
Wale ma trafik wanaokuweka roho juu ukiwa unaendesha hiyo Prado ya shemeji yako wote Ni divisheni foo Tena point zaidi ya hizo 28.
Ukienda kituo Cha polisi wale wanaokuambia uzunguke kaunta ndio hao unaowadharau.
Mataga wanaoendeshwa kwe viete pamoja na hao madereva wao na wengi wanao sifu na kuabudu wapate teuzi Ni hao hao div foo pt 29.
Wenye wani Kama wewe Ni mainjinia lkn mkiwaona walioteuliwa mnatamani mkajifiche chooni.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Natumia Infinix , nafanya graphics mwenyewe kila siku kwenye simu yangu (kwaajili ya biashara) hiyo canva , adobe etc zipo

Mna ujinga mwingi

Punguza jazba boss ukweri upo wazi wazi was huhitaji ku jibu kwa jazba namna hii
 
1. Nina 4 ya 28.

2. Diploma ya Uhasibu ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.5)

3. Bachelor Degree in Logistic and Transport Management. ( Sikuwahi kufeli hata somo moja, nilimaliza na GPA 4.1)
4. Mtuache na 4 zetu.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Weka vyeti hapa mkuu, yani topic za what are causes, mention merits and demirits, define law of use and dis use theory ukashindwa ila haya ya ufafanuzi wa mantiki ukaweza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unakuna pale unapoweza.

Kumekuwapo na imani kuwa watumiaji wa simu wa makampuni ya Tecno na Itel ni watu washamba na wasio na uwezo kifedha. Kiukweli katika mtizamo wa kutokuwa na uwezo kifedha naweza kuunga mkono lakini katika kuwa washamba ni jambo lisilo na ukweli.

Hivi inakuwaje mtu una akili zako timamu kabisa unaanza kumdiss mtu anayetumia Tecno au Itel wakati wote.

1. Mna access ya internet
2. Mnaweza pata kile mtakacho kama apps, muziki, videos na movies
3. Mna Ram na storage zinazofanana.
4. Camera yenye quality
5. Tunapost, tunacomment, tunashare na kulike.

Yawezekana utofauti upo kati ya makampuni aya na mengine lakini sio utofauti ule wa kuanza kukejeli na kudharau hizi simu.

Na kama ushamba ni yule anayemiliki simu ya gharama kubwa wakati angeweza kuwa na simu ya gharama nafuu lakini yenye performance kubwa.

Je simu ya gharama kubwa inayotumika kusikiliza muziki na kufuatilia maisha ya wasanii inaweza kulingana na simu ya gharama ndogo inayotumika kujisomea na kwenye biashara?

From northern part of Tanzania.
Tecno zina overheat hii kitu kwenye Samsung Hakipo ,Ram ya Tecno na Samsung ni tofauti ,Tecno Simu za ovyo
 
Hakuna anayemdharau mtumiaji wa TECNO au AITEL isipokua tunawatania Kama tunavyowatania wasukuma kwa ushamba walionao, au wangoni kwa kupenda pombe na wanawake, au wakinga kwa uchawi, au waha kwa uchafu na ubishi, au wapare kwa ubahili au waluguru kwa kuongea upupu au wakurya kwa tabia zao mbaya.
Hahaaaaaa chizi maarifa ww, we utakuwa mhaya! Ushakula senene sasa unatafuta makabila unayotaniana nayo yakumwage maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom