Hii imekaaje kwa mpenzi anayekupa kiasi fulani cha pesa halafu ndani ya siku mbili anaomba 75% ya pesa aliyokupa

Hii imekaaje kwa mpenzi anayekupa kiasi fulani cha pesa halafu ndani ya siku mbili anaomba 75% ya pesa aliyokupa

Priscallia

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2019
Posts
496
Reaction score
2,449
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kwanini ukae kimya? Yeye angekaa kimya wakati unawasilisha shida yako ungejisikiaje?

1. Ni kweli amepata dharura na anaamini hutakuwa umetumia yote ndio maana ameona akimbilie kwako.

2. Anakupima Imani aone kama yeye akiwa na shida ya dharura utajali na utaacha Lako umsaidie yeye.

3. Kama hiyo ni tabia ya mara kwa mara hapo sasa ndio mwambie ukweli kuwa hupendezwi.

Ningekuwa mimi ni wewe, ningempa. Kwa kuwa hata hizo 2.5m ni jasho lake ameamua kukupa kwa moyo wake. Hiyo 1m as long as hujaitolea jasho ingetosha kusogeza lengo Lako wakati unatafuta za kwako, au unasubiri tena akupe akipata.
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Sasa sii kashakuwezesha na ulishazitumia unamwambia ukweli tuu kuwa nilishazituma home kwenye ujenzi
 
Kashasema amepata DHARURA, kwahyo ni kweli na kaona pengne hyo pesa bado hujaitumia yote, na kingne inaweza kuwa na mtihani wake wa mwisho kwako..ukifeli huu mtihani, amini nakwambia na ww utakuwa umeisha!
 
Sina cha kukushauri, lakini itoshe tu kusema huyo mpenzi wako ni kuchaa ama hana akili timamu kwa kosa kubwa la kukupa kiasi hicho cha pesa wakati hata haunielewi kabisaaaa
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Tabia hii ya kupenda kusaidiwa tuu bila kupenda kusaidia si yako peke yako ni ya wanawake karibu asilimia 80% wewe huyu ni mtu wako ametoka kukupa hela majuzi na anajua kakupa na bila shaka amepatwa na shida na fikira zake wewe unaweza saidia maana alikupa hela na pengine anajua bado hujatumia zote....

Sasa wewe utakuwa ni mtu wa aina gani kukaa kimya kwa mtu ambaye anaweza kukusaidia million 2 +? ... kwanini usimjibu kuwa huna hela maana ile aliyokupa umeshaifanyia matumizi na ujaribu kumdanganya hata kwa kujifanya unahangaika kutafuta kwa kumkopea?
Kukupa juzi hela haimaanishi kuwa yeye kafunga mnyororo wa kupata matatizo.

Mjibu sms mwambie ile hela umetumia na angoje uangalie kama unaweza kukopa sehemu... unauchuna akidhani unapambana basi baadae unamwambia umekwama... lakini kama unao uwezo wa kumkopea sehemu fanya hivyo......

NB: Post yako inaonesha ni hasara kubwa mwanaume kumsaidia hela mwanamke akidhani na yeye anaweza saidiwa akipata tatizo.
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Mkiambiwa mna ubinafsi mnakuwa wakali. Huyu kaka akikupiga tukio akisepa utamlaum nani kw roho yako hii?

Okay siwez kuku judge direct.
Ila mwenzio alikusaidia 2.5m? Kwa usawa huu wanaume wa hivyo wako wachache.

Kwanza ungemsikiliza kisha umwambie namna gani unaweza saidia
 
Na hiz ndo true colors za jinsia hii pendwa..tutafanyaje sasa...

Jana tu hapo nmetoka kumuahidi x wangu wa kitambo sana kuwa aje achukue television akaweke kwenye liquor store yake mpya kakubal ila hatak kuja kuichkulia nyumban...wakat yeye ndo kalia shida...kupokea mnataka kutoa hamtak.hahhah
hahahaha, wako kimaslahi zaidi, pesa mbele

hawa ndiyo wanawake wa kidijitali
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Unavyo sema ubahili una msumbua Una kosea ata kuwa kashajua ume tuma kwenu kwenye ujenzi Wakati kwao wazazi wake na ndugu zake wanaishi nyumba za tope, wanawake hacheni kutoroga
 
Ni sawa na kuweka hela benki muda wowote anachukua. Usimpangie mtu fikiria tu amekupa umshikie hio 2.5M
 
Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.

Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.

Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Yaani unaita 2.5M hela kidogo huku unaombwa utoe 1.5M huna?
Hii ina maanisha ni uongo mtupu la sivyo 2.5M haingeweza kuwa hela kidogo kwako
 
Back
Top Bottom