[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tayar umeshavuka mtego.[emoji23][emoji23][emoji23]Ni kutumia ubongo kwa usahihi,, lengo la kunijulisha yote hayo ilikuwa ni nini, ilhali anafanyaga miamala yake mingine pasipo mimi kujua nikajiongeza tu ulikuwa mtego,, mitego ni mingi mno na hata leo naweza kutegwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂 Hapana mbele bado kuna viunzi vingi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee tayar umeshavuka mtego.
You are one in a million. Noelia Nadhani jamaa ameshalitambua hilo.Wanaume wana mitego, na mitego yao kwetu ni kwa kutumia pesa,ungempa aliyoomba ungejiongezea nafasi kubwa ya kula mara mia ya hiyo 2.5,, nakumbuka x-mas ya mwaka jana alinitumia 50k kwa ajili ya sikukuu hapo hapo bintize walitumia karibia 1m kwa ajili ya sikukuu,mama yake 300k na hizo zote akanijulisha, sikubadilika wala kujaa kinyongo nilikuwa normal tu nikamshukuru km kipofu aliyeona mwezi, guess what nimeambiwa nichague nchi nzuri kwa utalii ndani ya Afrika kwa ajili ya mapumziko ya sikukuu mwaka huu
Watu mnajua fasihi sana kuchambua dhima ya mada, hahaha..Mwakuliwa in the context! Pesa kidogo 2.5M tone ya sms yako na attitude haifanani na majidai yaliyo kwenye maudhui.
Mwakuliwa anataka project ndefu ila wewe ni Mwakulakula tu.
Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.😍😍😍 Shukrani Sana, tunajitahidi kubembelezana tusogeze haya maisha
Tabia za kimachame hiziKwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
toa tako hapaAsanteni kwa ushauri nimemtumia milioni moja na imani itamtosha kwa kipindi hiki.
Ukishajua nafasi yako wala hivyo vitu havikusumbui, mitego ni mingi nayopewaga bahati njema sina papara na tamaa, mi mwanaume, akinipa mapenzi, matunzo muhimu inanitosha, hayo mengine hayanishtui,Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.
Mkuu kwani 50k kwaajili ya sikukuu sio big deal? Ama kweli JF kila mtu ni tajiri [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Upendo ni kitu chenye baraka sana, kama mwanaume atampata mwanamke wa aina yako. Nimpongeze jamaa kwa bahati aliyopata kwa sababu amepata mwanamke mwenye roho ya kuridhika, kwa mwanamke mwingine ingekuwa big deal kupewa 50k kwa ajili ya Christmas.
Naunga mkono hoja mkuu, unajua mwanamke hata umfanyie nini atakusaliti tu na ndio maana huwa nikiingia kwenye mahusiana nitafanya ninacho kiweza na sio kwa kumridhisha.Hapa wanaume ndo tunapokwama..huwa tunafanya mambo mengi ili kuwafurahisha Hawa viumbe wanawake...tunasahau kuwa wanawake Ni wasaliti tangia enzi na enzi...samson kwa delila..Adam kwa Eva...hata umjengee ghorofa mwanamke hawez kuja kukuheshimu
Alafu mkiitwa wabinafsi mnaona mnaonewa! angekuwa mbahili angekupa hiyo hela?Kwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Asanteni kwa ushauri nimemtumia milioni moja na imani itamtosha kwa kipindi hiki.
Juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa..... wanaume tuna kazi kubwa sana hapa dunianiKwa ufupi kuna huyu mpenzi wangu, yaani juzi aliniwezesha kiasi kidogo cha pesa kama 2.5M hata hazijapita siku mbili, jana kanipigia simu anataka nimuazimie kama 1.5M kuna dharula amepata nyumbani kwao, moyo umekuwa mgumu kumuamini nahisi ni ubahili unamsumbua huyu mwenzagu hivyo nimekuja kwenu nimsaidie ama na mimi nikae kimya tu kama sijaona huo ujumbe wake.
Kwa ufupi tu hiyo pesa kwa sasa sina maana nilituma nyumbani kuna ujenzi unaendelea kule.
Nahitaji ushauri wako wa kujenga na si kubomoa.
Kumbe hazikwend kwenye ujenzi daah wanaume tunywe pombe tuuuAsanteni kwa ushauri nimemtumia milioni moja na imani itamtosha kwa kipindi hiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wake unajua kutegua au kuruka kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23] Hapana mbele bado kuna viunzi vingi
Hahahah ndo hivyo napalilia penzi😂😂 kwa kutegua mitego[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzuri wake unajua kutegua au kuruka kabisa.