Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
JF wasaalam,

Kwa muda mrefu sasa najionea Kwa macho yangu wafanyabiashara wa Nchi jirani wakinunua nafaka vijijini. Karibia Kila Nchi inayotuzunguka wafanya biashara wa mazao wamekuwa wakiingia Tanzania hadi ndani vijijini kusaka mazao.

Hofu yangu ni watanzania wazawa ambao nao pia ni wafanyabiashara. Kwani ushindani unakuwa ni mkubwa sana ukilinganisha watu wa Nje mitaji ni mkubwa nitatoa mifano.

Nimeona wakenya wakinunua dengu hawa wao hadi kisukuma washakijua wanaoingia vijiji vya ndani ndani huko kuzisaka!

Pia wanakuwa na bei yao ya juu kulinganisha na wazawa!

Juzi nimekutana na waganda na wanywaranda wakinunua nyanya mashambani huko vijijini. Ukweli kwa wakulima wanafaidila sana lakini hawa wafanyabiashara wazawa sidhanu kama wataweza huu ushindani.

Pia nilitaka kujua je kwa nchi zao hawa wenzetu mtanzania anaruhusiwa kwenda nchi za wenzetu vijijini huko kusaka mazao?

Sheria ya Nchi yetu iko wazi namna hii?

Binafsi ningependa wakuja hatukatai kuja ila wawe wanachukulia masokono au mpakani sio wao nao waingie vijijini kusaka.

Mimi kama mkulima ukweli na faidika sana na wafanyabiashara wa kigeni lakini pia nawaza juu ya wazawa.
 
Tulaumu ujamaa ulitudumaza sana anyway kifupi ni wanaenda ila sio kwa wingi si unaona tuna maparachichi ya Burundi ila kwenye fursa wenzetu wako mbele kidogo
 
Sasa kama mnawapeleka wenyewe kwa nini wasiende
 
Tulaumu ujamaa ulitudumaza sana anyway kifupi ni wanaenda ila sio kwa wingi si unaona tuna maparachichi ya Burundi ila kwenye fursa wenzetu wako mbele kidogo
Mjinga mjinga tu hanaga sababu!! wewe n mmoja wa wajinga unalaumu mfumo wakat kuna nchi zimetajirika na mfumo huo huo
 

Attachments

  • A5A927C6-BD7A-4D17-9CB6-C5D11C256A6B.jpeg
    A5A927C6-BD7A-4D17-9CB6-C5D11C256A6B.jpeg
    229.3 KB · Views: 17
Tulaumu ujamaa ulitudumaza sana anyway kifupi ni wanaenda ila sio kwa wingi si unaona tuna maparachichi ya Burundi ila kwenye fursa wenzetu wako mbele kidogo
Ulo sawa mkuu. Lakini waonaje ikiwekwa Sheria wasiingie vijijini wabakie kwenye masoko ya kimataifa? Hii ni sawa unakutana na wanywaranda mashambani wanachuma nyanya na fuso wamepaki hapo hapo shamban?
 
Mjinga mjinga tu hanaga sababu!! wewe n mmoja wa wajinga unalaumu mfumo wakat kuna nchi zimetajirika na mfumo huo huo
Mjinga mjinga tu hanaga sababu!! wewe n mmoja wa wajinga unalaumu mfumo wakat kuna nchi zimetajirika na mfumo huo huo
Dah umekuja kwa speed sana ungeweza kutoa elimu bila kashfa ila vile ulinyanyaswa kingono udogoni basi umekuwa mtu wa kupaniki ila hasira zako peleka kwa aliyekubikhri bro!
 
Ulo sawa mkuu. Lakini waonaje ikiwekwa Sheria wasiingie vijijini wabakie kwenye masoko ya kimataifa? Hii ni sawa unakutana na wanywaranda mashambani wanachuma nyanya na fuso wamepaki hapo hapo shamban?
Uko sahihi ila sera zetu za mauzo ya chakula nje zimekuwa zikiyumba sana Kuna wakati wanazuiwa na Kuna wakati wanaruhusiwa tuendelee kupambana maana dunia imebadirika na soko huru linaendelea kushika kasi
 
Uko sahihi ila sera zetu za mauzo ya chakula nje zimekuwa zikiyumba sana Kuna wakati wanazuiwa na Kuna wakati wanaruhusiwa tuendelee kupambana maana dunia imebadirika na soko huru linaendelea kushika kasi
Uhakika mimi binafsi sijutii kabisa Kwa upande wangu maana Wana ni hakikishikia hata nikilima heka5 za nyanya watanunua tu na nikweli maana wanazisaka sana
Wewe lima piga Pesa acha kuwaza sijui Sheria kufanya nini mipaka imefunguka sasa unafuatwa na MGENI mpaka sebleni kwako kuja kupewa Pesa unataka nini kingine au unataka madalali wawapige cha mtu kati?
Uko sawa mkuu Wala sijutii kabisaa
 
Nilichogundua wew siyo mkulima ni malanguz, umeona unapigwa kete na hao wazamiaji umeamua kuja kulia lia hapa, acha wakulima nao wafaidike,
 
Nilichogundua wew siyo mkulima ni malanguz, umeona unapigwa kete na hao wazamiaji umeamua kuja kulia lia hapa, acha wakulima nao wafaidike,
Njoo pm nikupe induction Kwa kina. Huo ugunduzi umeufanyia hapa hapa jf au umegunduaje? Ungekuwa Dr ninyi ndo Huwa mnafanya operation ya pumbu badala ya pua.
 
Back
Top Bottom