Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

Hii imekaaje kwa wafanyabiashara wa ndani kwenye biashara ya mazao?

Njoo pm nikupe induction Kwa kina. Huo ugunduzi umeufanyia hapa hapa jf au umegunduaje? Ungekuwa Dr ninyi ndo Huwa mnafanya operation ya pumbu badala ya pua.
Kweli mkulima alalamike mazao yke kununuliwa Kwa Bei ya juu et kisa kuwaonea huruma wafanya biashara wanzawa, nasemaje wew ni malanguz
 
Kweli mkulima alalamike mazao yke kununuliwa Kwa Bei ya juu et kisa kuwaonea huruma wafanya biashara wanzawa, nasemaje wew ni malanguz
Mkuu hii sio ligi amini unacho amini. Mimi ni mkulima Hadi Sasa shamba la nyanya lipo Tyr lete Hela tu tufanye biashara uhakika wa ndoo 300+ Kwa mpigo upo. Nipo geita huku. Ahsantee
 
Mjinga mjinga tu hanaga sababu!! wewe n mmoja wa wajinga unalaumu mfumo wakat kuna nchi zimetajirika na mfumo huo huo
Unadhani socialism ya wachina imejengwa kiholela holela kama hivo alaivyosema ndugu yetu wachina socialism yao wamejenga wao kwa wao na kama ujamaa basi ni ujamaa wenye mipaka toa screenshot hiyo mana umekurupuka tu kuweka bila kujua aina gani za socialism wenzenu wamefanya kufanikiwa yani wewe mgeni rafiki yako apitilize hadi chumban kwako ni huo ndio ujamaaa?
 
Unadhani socialism ya wachina imejengwa kiholela holela kama hivo alaivyosema ndugu yetu wachina socialism yao wamejenga wao kwa wao na kama ujamaa basi ni ujamaa wenye mipaka toa screenshot hiyo mana umekurupuka tu kuweka bila kujua aina gani za socialism wenzenu wamefanya kufanikiwa yani wewe mgeni rafiki yako apitilize hadi chumban kwako ni huo ndio ujamaaa?
hizo nchi zote zina socialism so usikurupuke kuijadiri china
 
hizo nchi zote zina socialism so usikurupuke kuijadiri china
Sikatai lakini sio socialism kama aliyozumza comrade hapo juu ya watu kujingilia vijijini na kufanya trade au export yeyote haswa kutoka nchi sio yako mwenye akili na aliekua anajua kuweka mipaka kama iyo tumesha mzika
 
Back
Top Bottom