adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Moja kwa moja..
Leo katika kuperuzi katika nikakuta adds ya app ya kujifunza kuongea kimalkia nikaamua kuipakua .
Nimestaajabu kikivyokuja kipengele cha kuchagua lugha yako unayoitumia Kiswahili kukuta imewekewa bendera ya Kenya wakati Tanzania ndiyo wazungumzaji wa Kiswahili kwa asilimia kubwa.
Hiyo siyo mara kwanza kuna sehemu nyingine niliwahi kukuta Kiswahili imewekewa bendera ya Kenya .
Hii kitaalamu imekaaje kwa nini Tanzania isitambulike?
Kapicha cha kusindikizia uzi hako
Leo katika kuperuzi katika nikakuta adds ya app ya kujifunza kuongea kimalkia nikaamua kuipakua .
Nimestaajabu kikivyokuja kipengele cha kuchagua lugha yako unayoitumia Kiswahili kukuta imewekewa bendera ya Kenya wakati Tanzania ndiyo wazungumzaji wa Kiswahili kwa asilimia kubwa.
Hiyo siyo mara kwanza kuna sehemu nyingine niliwahi kukuta Kiswahili imewekewa bendera ya Kenya .
Hii kitaalamu imekaaje kwa nini Tanzania isitambulike?
Kapicha cha kusindikizia uzi hako