Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana
Mimi shida pekee niipatayo baada ya kunywa uji ni Usingizi, hasa asubuhi.hata mimi kila saa 10 au 11 jioni huwa ni mnywaji mzuri tu wa uji. vp mkuu kwani shida ni nini?
Uji ni kinywaji cha watu wenye familia stable, na wanaoheshimika kwa sababu hunywewa nyumbani.Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana
Safari njema huko mwendako!Katika jitihada la kumiliki jina la uanaume , wanaume wengi tunakwenda kaburini mapema .
Ukiwa mwanaume unatakiwa usile sana , usilie , ujikaze hata kama unaumia ,ufanye kazi ngumu ngumu ect ,
Hii attitude ya kukumbatia uanaume ndo njia sahihi kabisa inayotupeleka kaburini mapema.
Mi nitakushangaa nikikuuta una kula ndizi, au ice cream zile za barabarani za 500.Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana
Tofauti ya uji na ugali ni kiwango cha maji....Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana
Yakisha kukuta ndio utajua uji pia ni chakula kinachoweza kuliwa mchana au usiku...Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana
Hiyo kweli kweli imebidi nisome 'in Magu's' voice kupata msisitizo wako Bro. [emoji23]Adui wa mendeleo ujinga bado ni adui kweli kweli!
Amegoma kabisa kufutika.