MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
Uji wa kawaida au wa mgonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo nimemaliza kuunywa muda si mrefu na hasa kipindi hiki cha baridiNimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana.
😂Sisi wabongo akili zetu sijui zimekaaje[emoji28].. uji una shida gani sasa
👍Adui wa mendeleo ujinga bado ni adui kweli kweli!
Amegoma kabisa kufutika.
😇Katika jitihada la kumiliki jina la uanaume , wanaume wengi tunakwenda kaburini mapema .
Ukiwa mwanaume unatakiwa usile sana , usilie , ujikaze hata kama unaumia ,ufanye kazi ngumu ngumu ect ,
Hii attitude ya kukumbatia uanaume ndo njia sahihi kabisa inayotupeleka kaburini mapema.
mimi mwenyewe hata leo hii nimekunywa uji. siku zile ambazo nimepiga sana kazi sijapata nafasi kula chakula mchana, nikirudi home lazima nianze na uji ndio vije vyakula vingine. pia, kuna mwaka nilikuwa ndio najenga nyumba yangu ya kwanza, nilijinyima sana kusevu pesa, na mkoa huo sikuhama na familia, nikawa kama bachela. basi, ikifika jioni naenda natwanga kikombe kikubwa cha uji sehemu moja mama ntilie alikuwa na machupa yake anauza everyday kuanzia saa moja, uji safi wa ulezi kachanganya na maziwa, karanga n.k, nikipiga uji siku hiyo naenda moja kwa moja kulala, ndo nikasevu pesa hadi kumaliza nyumba.Nimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana.
Siku ukienda jela utajua uji ni tunu ya taifaNimeenda kumtembelea lafiki yangu nimekuta ana kunywa uji hii imenishangaza sana najua uji ni kwa ajili ya wanawake na watoto wanaume ni chai na kahawa hii dunia ina enda kasi sana.
[emoji23][emoji23]wanaita Nyuka mabelWajuruo watakuelewa kweliii na wanavyopenda hiyo kitu
uko sahihi mkuuKatika jitihada la kumiliki jina la uanaume , wanaume wengi tunakwenda kaburini mapema .
Ukiwa mwanaume unatakiwa usile sana , usilie , ujikaze hata kama unaumia ,ufanye kazi ngumu ngumu ect ,
Hii attitude ya kukumbatia uanaume ndo njia sahihi kabisa inayotupeleka kaburini mapema.