Hii imekaaje? Ni sahihi kweli??

Hii imekaaje? Ni sahihi kweli??

naona nimechelewa si kiherehere ni kuonyesha unajali siziga hujambo lakini habari za ntwara??

sometimes unawezakuwa walikupigia hukupatikana. Its ok and very professional kuulizia. Ila sasa usije ukaulizia kama mtoto mdogo. Waulize when do they think watakuwa ready, na iwapo hujawasikia when next can you check with them again.

aende phisically tena ahakikishe anaonana na senior personel officer kwa sababu kinachofanyika ni kwamba wakati mwingine mtu anapewa jukumu la kumpigia simu. Huyo mtu kama anataka kumpa hiyo kazi mtu mwingine anaweza kureport kwa boss kuwa hampati kwa simu. Baadae boss anasema basi mpigieni yule mwingine, hapo ndio jamaa anaingiza mtu wake.


asipoteze muda, kama ni jirani aende, kama ni mbali apige simu kuulizia.nadhani ndiyo maana hasa ya kupeana mawasiliano!
Kazi za siku hizi haziaminiki, unaweza kuta jamaa kawahonga huko, yuko katika process za kukupora nafasi, bora umfumanie kenye makorido kabla hajakuharibia zaidi!


asipouliza ataonekana hayupo serious huenda ni mtego kujua kama ni mfuatiliaji au la. Hapo hakuna jinsi awapigie simu au aende kabisa kuwauliza.


update


nimeyachukua mawazo yenu yoooote....nimemjlisha jamaa, na fasta akawapandia hewani, kumbe bossi kapata dharura na kasafiri na wamedai atarudi kesho kutwa na atakamilisha kila kitu.

Thankx all. My regard jf




 
mi nilitokea na scenario kama hiyo ilikuwa ni MD kusign tu nikaambiwa nisubiri ila nilikuwa nafutalia na nilikuwa na mulizia HR na alikuwa ananipa majibu yanayostahili ni haki yake kuuliza mkuu..

Aaagh Mr Maganga, tumepoteana kweli aiseeee, hamna noma tunafuatilia kama kawa sema kumbe bossi alisafiri na atarudi after 2 days...so we keep patient et all.
 
Aaagh Mr Maganga, tumepoteana kweli aiseeee, hamna noma tunafuatilia kama kawa sema kumbe bossi alisafiri na atarudi after 2 days...so we keep patient et all.
ndugu yangu mambo ni mengi... humu nimeadimika sana ila najitahidi kutembelea ... vipi lakini bukheri wa afya..?
 
ndugu yangu mambo ni mengi... humu nimeadimika sana ila najitahidi kutembelea ... vipi lakini bukheri wa afya..?

Aagh bana Mungu mkubwa anasaidia tunapumua na tunaishi...mihangaiko tu, nadhani nitakujuza zaidi Mungu akipenda!!
 


update


nimeyachukua mawazo yenu yoooote....nimemjlisha jamaa, na fasta akawapandia hewani, kumbe bossi kapata dharura na kasafiri na wamedai atarudi kesho kutwa na atakamilisha kila kitu.

Thankx all. My regard jf




Sizinga, huyo jamaa mwambie aende personally kwa hao jamaa. Simu haziaminiki, inawezekana anayemjibu kwenye simu ndiye anayemfanyia hila!
 
Sizinga, huyo jamaa mwambie aende personally kwa hao jamaa. Simu haziaminiki, inawezekana anayemjibu kwenye simu ndiye anayemfanyia hila!

Bt 2 days not bad to wait...ijumaa atapawandia hukohuko juu
 
Back
Top Bottom