Sawa, basi mpe pole huyo unayemuita mwanao.Mimi sijawahi fanyiwa Ivo haitatokea
Anhaa Kwa hyo jamaa alikuwa akijitolea tu..au siyo?..basi jamaa asitumie hicho kigezo cha huduma kama uhakika wa kupewa mbunye..Alikua anampa tu Kama mpenzi so unajua
Ndicho nilichokimaanisha, ila hela atarudisha vipi sasa kwani ulishikiwa bunduki kumpa? Unasamehe tu๐Yaani unamuhudumia,lakini mbunye hatoi..hapohapo wajuba wengine wanakula freebot..aisee mi sikubali,hela zangu atarudisha.sipendi ujinga mimi
Inaweze ikawa Jamaa anaekula bure anamhudumia zaidi,Mko poa unakutana na manzi unampenda Sana unampa mahitaji yote Ila mechi hupewi lakin hapo hapo Kuna mchizi anakula free bila kutoa kitu imemtokea mwanangu mmoja
Duh...Inaweze ikawa Jamaa anaekula bure anamhudumia zaidi,
Mfano wewe umenunua gari la pesa ndefu ukampa mwanamke km zawadi anapokua safari mara gari inapata itirafu anakuja Fundi kumrekebishia, kwa mwanamke hapo mtu mwenye thamani zaidi kwake ni Fundi aliemrekebishia gari sio wewe ulietumia pesa zako kumnunulia gari
Kwa hio usishangae endelea kujifunza
Yan ndo asinionjeshe hata kidogo..๐ฎ..aisee yan nitakuwa na kinyongo hadi na-dead..Ndicho nilichokimaanisha, ila hela atarudisha vipi sasa kwani ulishikiwa bunduki kumpa? Unasamehe tu๐
Ewaaa kuna Jamaa aligundua hicho kitu mwanamke alipigwa vibaya Mpaka leo ana mapengo ila hawajaachanaDuh...
Ila nimewahi sikia kwamba hawa wapinzani wetu unaweza ukamfungulia duka la mtaji wa mil 2,akawa anauza ila utakuta we haoni thamani yako ila mteja anayekuja Kununua sigara ya sh 100
Poa,Nambie wangu!
Watu na asse't zaoMkuu umejaliwa huko nyuma! ๐ค๐View attachment 2327363
Mkuu umejaliwa huko nyuma! [emoji847][emoji7]View attachment 2327363