Hii imekaaje wakuu

Hii imekaaje wakuu

They are Crooked, immoral, evasive and perverts!<?xml:namespace prefix = o ns = "urn:schemas-microsoft-com😱ffice😱ffice" /><o😛></o😛>
 
@Efraizmteman Hongera kwa hiyo AVATAR ; Mwalimu ataendelea kuongea nasi milele!
 
Mi nadhani picha ilivokaa kama hawa wadada wawili wanamla denda huyu jamaa!!!!!?
 
mhhhh thatz too much jamaani, kila kitu kna uzuri mahari pake....!!where are we hailing to???hata sodom ilianza lyk that...!!!shauri yao wanaoutolea macho upuuzi wa duniani...!!!
 
Hivi,

Hii Brand ya Bia bado inauzwa Dar es Salaam

Pilsner Ice?
 
dunia imefikia pabaya sana.jamani aaghh!

Mambo ya utandawazi kwa maana ya kupunguza rasilimaliwatu AFRICA na kuongeza huko AMERICA na ULAYA. wazungu wanatumia strategy kama uzazi wa mpango, kuhalalisha ushoga kwa wake na waume pamoja na kutoa vitu kama green card kwani in order to be a super power you need to have people as resources...
 
IANGALIE VIZURI SIO WASAGAJI.
KUNA MWANAMUME KAVAA SWETA LA CREAM NA SHATI LA LIGHT BLUE.
attachment.php
 
Imekaa kibiashara zaidi..Ukichumguza vizuri hiyo picha utagundua kuna njemba hapo ambayo nayo imeshikanisha mikono na hao wadada sasa huenda ndio yale mambo ya kwenye vijarida vya udaku...I hope people tend to get money out of this rubbish!
 
Back
Top Bottom