PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
NomaaabHatari sana! Meaning...usipokua makini..unaweza jikuta unatembea na kila mwanamke anayekutongoza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NomaaabHatari sana! Meaning...usipokua makini..unaweza jikuta unatembea na kila mwanamke anayekutongoza.
HahahaKuna vijana wanatamani wangekuwa wew
DuuhKwani ulikuwa wapi? Kama hujui nikuambie sasa, hao ladies wamekuwepo tangu enzi za Mkapa.
PumbavuNi kawaida tu jombaa, mademu wa kishua wanafunguka live bila chenga.
Confidence levels zao ziko juu.
Be mindful kwamba ukizingua una mwagwa vizuuri tu. Karibu mjini
ChaiWanawake ni watu pia, tena wana hisia na tamaa ya mwili
HahahaSisi wenye sura mbaya hizo bahati hazitukutagi.
Kwa zama za Sasa hiyo ni kawaida sanKwema wadau?
Sasa hivi kumezuka tabia ya wanawake kutongoza Wanaume.
Yani mwanamke akimpenda Mwanaume, anafunguka wazi bila woga kabisa,...Hii imekaaje wadau.
Nimei experience hii hali zaidi ya mara nne tangu January, (Kwangu naona ni kama maajabu sana,....au nina tatizo labda?...au nimetupiwa majini ya mapenzi labda?)
Note: Mimi sio mzinzi,...I mean, siendeshwi na tamaa za Mwili, ; Ninazo nguvu za kuucontrol mwili wangu jinsi ninavyotaka , sio wenyewe unicontrol Mimi. ( Naona ni kama nawaumiza hawa watu kwà kutojali kabisa hisia / maneno yao)
HahahaMtoa mada pamoja na wote wanaotoa ushuhuda wa kutongozwa na wanawake inaonekana sio watu wa mademu yani inawatokea mara kwa mara afu inaangukia kwa watu ambao hawapendi kabsa mademu, hahahaha this is JF....waje wengine watoe ushuhuda wa tofauti, nategemea aje mtu aseme bahati ilimwangukia afu akawanyoosha kwelii kweli, inakuaje wote wanaoangukiwa na hii bahati sio watu wa totoz?! Coincidence or?![emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]