Hii imekaaje ya mke kumua mumewe kwa kipigo baada ya kuwa chaulevi?

Hii imekaaje ya mke kumua mumewe kwa kipigo baada ya kuwa chaulevi?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039

View: https://www.youtube.com/watch?v=8_9k1D_x6gs
Siongezi neno.
Jamaa aitwaye Daudi kapata kipigo toka kwa mkewe na watoto wake na kupoteza maisha.
Hebu tudurusu kadhia hii wakati tukijikumbusha kuwa kuna wanawake wengi wameuawa na wanaume wengi tu.
Je hapa ni kile kisa cha mbwa kumng'ata mtu ikiwa jambo la kawaida au mtu kumng'ata mbwa ikawa stori?
 
Mambo ya ndoa ni mateso na kuvumilana asilimia 80 huko..

Babu zetu hawakua wajinga kuoa wake wengi na kuzaa watoto idad anayoyataka..

Hii itaendelea sana, bila kuwa mbabe kwenye familia kinachofuata ni kukataliwa mpaka na watoto wako wa kuwazaa
 
Wale majamaa WA "unyanyasaji WA kijinsia" HUWEZI kuwaona kabisa hapa
 
Si sawa mke akimfanyia ukatili au kumuua mumewe na si sawa mume akifanya ukatili au kumuuua mkewe.

Huyo mwanamke amekosea, ana kosa la jinai la kujibu na sheria imechukua mkondo wake. Ila pia amefanya sivyo sana kuwashirikisha watoto kwenye kitendo hicho cha kikatili.

Mkiona wanaume wenzenu wanafanya pia vitendo kama hivi, muwakosoe sio kuanza kusema “tunahitaji kusikia na upande wa pili, hawezi kua amemuua au kumpiga hivi hivi tu” maana hizo ndiyo comment tunazoonaga.
 
Si sawa mke akimfanyia ukatili au kumuua mumewe na si sawa mume akifanya ukatili au kumuuua mkewe.

Huyo mwanamke amekosea, ana kosa la jinai la kujibu na sheria imechukua mkondo wake. Ila pia amefanya sivyo sana kuwashirikisha watoto kwenye kitendo hicho cha kikatili.

Mkiona wanaume wenzenu wanafanya pia vitendo kama hivi, muwakosoe sio kuanza kusema “tunahitaji kusikia na upande wa pili, hawezi kua amemuua au kumpiga hivi hivi tu” maana hizo ndiyo comment tunazoonaga.
Baba kafa, familia ipo mtegoni kuingia jela kwa muda mrefu.
Hekima na subira ni jambo muhimu sana, hasa inapobidi kuwa jambo la familia.
 
Mambo ya ndoa ni mateso na kuvumilana asilimia 80 huko..

Babu zetu hawakua wajinga kuoa wake wengi na kuzaa watoto idad anayoyataka..

Hii itaendelea sana, bila kuwa mbabe kwenye familia kinachofuata ni kukataliwa mpaka na watoto wako wa kuwazaa
bora mimi naishi peke yangu!!
 
Back
Top Bottom