uyo mdor alikuwa yukoje?isije ikawa ana KAZI nao?
sjaona pbm apa sasa unataka ushauriwe nini apo?
napata picha mbili kwenye i stor yako;
1.demu anaonekana ajakua,
--hana uvumilivu,
--hana ustaaarabu- hauwez ukaingia tu kwenye gari na kulilia vtu vya watu uondoke navyo,
--demu si mvumilivu that ntakununulia wako bt still anan'gan'gania tu apo jamaa ajitayarishe ni sampul za wale wanawake nataka BMW km ya meng wiki ijayo....km sivyo mi narud kwetu..haunipend...
--DEMU ANAONGOZWA NA TAMAA BILA KUZINGATIA FACT ..
--akili fuuuuuuuuuuup km sandoz za kiyahudi.(akichambua tabia kutoka kwenye iyo swaga utakuja kuona uyo si demu wa kuoa ni MBINAFSI PIA ..its ol abt me)
2.
mwanaume naye ni tatizo ..km alimwona bibie analilia sana angemwachia tu na kumwambia km umelizika nae poa we chukua lakin ntakutafutia mwngne mzuri..apo case ingekuwa imekufa lakin si mwanaume na mwanamke mnan'gan'gania mdor ahhh i kali
-mwanaume hana busara wala hekima
-mwanaume hana utubutu wa KUJITOLEA ..km kashindwa kuachia mdori tu je yupo tayar kujitolea kwa demu kwenye tatizo lingine?
-si mlezi na wala hana ubaba...malezi ya watoto na huduma pia ni tatizo in sense of kuibeba nyumba na mahitaji yote
-mwanaume ni mchoyo
--anapenda ushindani na ubishani apo usishangae kuona unabshana na mwanaume km unabshana na HADIJA KOPA..
--km ningekuwa mimi apo ningefunga kitabu(uyo demu km alipitia somo fulan ivi basi alifanya ivo makusud ili apate kujua tabia ya jamaa..kwa wenyewe apo wanaweza wakakuchambulia tabia za jamaa zoooooote
--ahh ebu mie nkapike bamia nile..