Mahaba ni mabaya sana mkuu...hasa yanapozidi!Umeandika nini mkuu??
ulichosomaUmeandika nini mkuu??
Unadhani kuwa Diamond ndio Mwanamuziki wa kwanza kuwa na vevo account bongo?![/QUOT
nani mwingine anayo?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Muuzaji alisafiri kikazi[emoji58][emoji58]
Tuwe na subira!
nani mwingine anayo?Unadhani kuwa Diamond ndio Mwanamuziki wa kwanza kuwa na vevo account bongo?!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mahaba ni mabaya sana mkuu...hasa yanapozidi!
Ni nusu ya uwendawazimu.
sasa kwani diamond ni msanii mdogo africa! ha haaaa haaaa chuki itawaua nyi mashabiki wa kiba!Hahahaaaaaaaaah hivi mashabiki wa Diamond huwa wanaenda kuangalia videos zake kupitia subscribe?Mnataka kutuaminisha kwamba idadi ya subscribers ni sawasawa na viewers wa kwenye videos zake?
Acheni kutafuta sababu zisizokuwa na mashiko,safari hii mzee wa viewers mil. 2 ndani ya siku 2 kaangukia pua.
Halafu ajabu zaidi ni kwamba kamshirikisha mwanamuziki mkubwa duniani Ne-Yo!
Bila shaka wakati anamuomba collabo alijigamba sana,mimi ndio msanii mkubwa Afrika,sasa kwa viewers wale
Hahahaaaaaaa
Waache dawa iwangiesasa kwani diamond ni msanii mdogo africa! ha haaaa haaaa chuki itawaua nyi mashabiki wa kiba!
Wimbo huu unatusua kama hautaki ivi waache watokwe povu.....habari zetu wanazo zao hatunaSiku 4 una view ml 1 we unasema haufanyi vizuri labda kwa maroho yenu mabaya
Namini utaziputa hats hizo nyimbo zenu mlizozitanguliza
Unamatatizi kapige mswaki Dada was kariakooMahaba ni mabaya sana mkuu...hasa yanapozidi!
Ni nusu ya uwendawazimu.
Kwani ni nani anayedhibiti hayo maroboti kati ya Universal na Google?! Nyie watu mbona hoja zenu zinawafanya muonekane uwezo wenu wa kufahamu mambo ni mdogo?! Ngoja nikusaidie ndugu yangu ili usionekane kituko mbele ya waelewa! Ni Google/Youtube ndio wanadhibiti robots na sio Universal! Na ni hao hao Google/Youtube mwaka jana walimpa award Mondi kupitia channel hiyo hiyo mnayosema ananunua views.Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji[emoji116]
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
Gosby,Vanessa Mdee,Aika na Nahreal,Hisianani mwingine anayo?
Mkuu zile nyingine zilikuwa zinafikisha Milioni ndani ya siku 2....upo hapoSiku 4 una view ml 1 we unasema haufanyi vizuri labda kwa maroho yenu mabaya
Namini utaziputa hats hizo nyimbo zenu mlizozitanguliza
Umemsahau na "juxrapper". Nilimuona juzi kati hum ndani. Sema yeye sio maarufu sana naona...Asee now mda mbaya
Kuna
Trump
Makonda na madawa
Kigwangala na delicious wake
Hamoraper
Tundu lissu kukamatwa
Ishu ni nyingi nadhan timing imekuwa mbaya na views wana fuatilia mambo mengine
Ila kweli Diamond baba ya muziki views laki 8 kwa siku 5 kwake inaonekana kafeli!!