Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si unaona wapiga picha siku ile walivyokuwa wanakimbia kuwahi pozi zuri kila step anayopiga kuelekea kwenye ngazikabisa yaani!
kumbe nimeamini Wema ni brand Ila haijatambui!!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweliSi unaona wapiga picha siku ile walivyokuwa wanakimbia kuwahi pozi zuri kila step anayopiga kuelekea kwenye ngazi
Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji![]()
![]()
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
![]()
hii ngoma imebuma wrong timing
Upepo umehama
Muuzaji alisafiri kikazi![]()
![]()
Tuwe na subira!
Jamaa kamkataza asinunue si unajua tena mbele uko
Asee now mda mbaya
Kuna
Trump
Makonda na madawa
Kigwangala na delicious wake
Hamoraper
Tundu lissu kukamatwa
Ishu ni nyingi nadhan timing imekuwa mbaya na views wana fuatilia mambo mengine
Ila kweli Diamond baba ya muziki views laki 8 kwa siku 5 kwake inaonekana kafeli!!
Asee now mda mbaya
Kuna
Trump
Makonda na madawa
Kigwangala na delicious wake
Hamoraper
Tundu lissu kukamatwa
Ishu ni nyingi nadhan timing imekuwa mbaya na views wana fuatilia mambo mengine
Ila kweli Diamond baba ya muziki views laki 8 kwa siku 5 kwake inaonekana kafeli!!
wabongo bwana issue hapo mbona ni ndogo sana! kwanza amebadili account ile vevo ni mpya kabisa!Watu tulikua busy kufatilia yanayojiri central... Timing is key!
kwahiyo usipousikia wewe ndio hakuna chochote kinachoendelea?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli
sasa hivi kila kona ni yy tuu...
yaani hakuna chochote kinachoendelea miye ht kuuskia sijawahii
wema katamalaki
Mkuu huoni hata idadi ya subscribers ni tofauti? Vipi unajua subscribers wanaplay part ipi kwenye kuboost number of viewers? Vipi huoni kama hiyo account ni mpya? Vipi na wewe ni miongoni wa wale wanaoamini Diamond aliwadanganya google hadi wakampa ile tuzo?Sasa hivi hawezi kufanya janjajanja unversal huwa hawapendi ujinga,hii ndio ilikuwa page yake aliyokuwa anatumia ma robort ya Google kuongeza watazamaji[emoji116]![]()
Hii chini ndio page ya sasa ambayo iko chini ya uangalizi wa unversal huku hawezi kutumia ma robort
![]()
Acha ukilaza kwahiyo vevo inapubguza watu wa kucheck videoWewe mtoa mada ndio uwezo wako wa kufikilia ndio umefika mwisho? Hiyo nyimbo kaipost kwa kutumia account mpya ya VEVO. Ana mkataba na universal na universal wanawatumia vevo kupitia u tube, kama haujaelewa na hapa basi mwalimu wako ana shida.
Siku ile alivyokuwa anaojiwa xxl alikuwa anasema Universal hawana mamlaka yoyote.timing haikua nzur managemnt yake nafikir kuhusu release date naona ilipangwa na universal
Unadhani kuwa Diamond ndio Mwanamuziki wa kwanza kuwa na vevo account bongo?!wabongo bwana issue hapo mbona ni ndogo sana! kwanza amebadili account ile vevo ni mpya kabisa!
Halafu video imewekwa you tube siku ya tatu baada ya kuchezwa trace kwa mara ya kwanza na clouda tv siku nzima iliyofuata!
Ile hamasa ya watu kwenda you tube ilipungua!
Ngojeni ifike muda na hao wengine wafungue vevo accont kwa mara ya kwanza muone viewers watakua wangapi!
Huyu jamaa ametoa nyimbo na underground kama reynavvy na kuweka record ya viewer million mbili ndani ya siku mbili. Sasa hii ya sasa hivi katoa na msani mkubwa tena anajulikana dunia nzima lakini mpaka sasa video hajafikisha million 1 tatizo nn!! Na sasa hivi hawaongelei issu ya viewerView attachment 468153
huo mkataba ndio ule alilipwa bilioni 2.2 a lady akalipa kodi milioni 35?!Wewe mtoa mada ndio uwezo wako wa kufikilia ndio umefika mwisho? Hiyo nyimbo kaipost kwa kutumia account mpya ya VEVO. Ana mkataba na universal na universal wanawatumia vevo kupitia u tube, kama haujaelewa na hapa basi mwalimu wako ana shida.
kaz kwelkwelSiku ile alivyokuwa anaojiwa xxl alikuwa anasema Universal hawana mamlaka yoyote.
Yeye ndio anaamua atoe nyimbo na video lini...Universal kazi yao ni kuuza kazi zake kwenye mitandao au bwana Dimond alitudanganya kama kawaida yake?!
Sijakuelewa unavyosema swali ni why hii video haijafikisha views haraka tofauti na video zingine?huu wimbo umetolewa kivingine, kwa malengo mengine
lazima waTanzania waelewe....
Halafu tumeletewa system mpya ambayo ina mlolongo mwingi ,unawashinda baadhi yetu
Kwani ukiwa VEVO ndo video yako haiwez kufikisha views haraka kama anavyofanyaga? ?kwani shda ipo wapi? ?sidhani kama umeandika kitu sahihiWewe mtoa mada ndio uwezo wako wa kufikilia ndio umefika mwisho? Hiyo nyimbo kaipost kwa kutumia account mpya ya VEVO. Ana mkataba na universal na universal wanawatumia vevo kupitia u tube, kama haujaelewa na hapa basi mwalimu wako ana shida.
Umeandika nini mkuu??wabongo bwana issue hapo mbona ni ndogo sana! kwanza amebadili account ile vevo ni mpya kabisa!
Halafu video imewekwa you tube siku ya tatu baada ya kuchezwa trace kwa mara ya kwanza na clouda tv siku nzima iliyofuata!
Ile hamasa ya watu kwenda you tube ilipungua!
Ngojeni ifike muda na hao wengine wafungue vevo accont kwa mara ya kwanza muone viewers watakua wangapi!