Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 116
Picha hizi zinaonyesha ni kwa namna gani udhalilishaji ulivyokithiri. Huyu mama ni mama wa watu huko nyumbani na pia ni miongoni mwa raia ambaye anaamini kabisa haki zake zinapaswa kuheshimiwa. Lakini hili walilofanya mgambo kwa kuwa tu naibu waziri Nyalandu anakwenda kutembelea soko ni la kukemewa kwa nguvu. Kuna haja ya kuongeza sauti zetu, tupaze zaidi, tupinge hatua unyanyasi huu na ule unaoweza kuleta mauaji. Ni wakati sasa wa kusema hapana. Hawa watu wanaomfanyia hili huyu mama hawana moral authority wa kuendelea na kazi yao.
Picha hizo nimezitungua blog ya jiachie zikionyesha mgambo wakisafisha wamachinga kabla ya ziara ya naibu waziri.
Picha hizo nimezitungua blog ya jiachie zikionyesha mgambo wakisafisha wamachinga kabla ya ziara ya naibu waziri.