Hii imetokea katika Maegesho ya WHO Dar Es Salaam!! Lunch Box

Hii imetokea katika Maegesho ya WHO Dar Es Salaam!! Lunch Box

Utashi wa mtu siku hizi umebakia kwa mtu mwenyewe, siku hizi utu wa mtu hauna thamani tena.

Hii si hadithi, ni vitu vya kweli vinatokea maeneo mengi tu siku hizi.
 
vya fasta fasta vitamu hasikwambie mtu,mnajiona wajanja kweli mkimaliza show,mnaweza kurudia again n again
 
vya fasta fasta vitamu hasikwambie mtu,mnajiona wajanja kweli mkimaliza show,mnaweza kurudia again n again
 
Huyo atakuwa mke wa mtu, katoka fasta kwa jamaa apige cha mchna jioni jamaa(mume) anapewa makombo, haya yapo sana nenda pale mlimani city, ukiona noah iko tinted ujue lazima kuna aidha student au mke wa mtu atakuwa anapewa kitu, binadamu ni zaidi ya wanyama sishangai kwani hata shetani mwenyewe kamuambia Mungu dhambi nyingine mi sijawafundisha hawa binadamu.
 
Naweza kuamini hii habari, maana nakumbuka kilpindi nasma pale Azania Sekondari, kulikuwa na michezo kama hiyo ilikuwa inafanyika na tulikuwa tunakula chabo karibia kila tukio likitokea, maana pale Azania" kulikua kuna Hostel za wasichana wa Zanaki, basi ikifika saa 12 jioni kuna gari zilikua nje ya Ukuta wa Azania karibia na Kontena la dada Muuza Soda, basi jamaa akija na gari baada ya dakika 10, binti alikua anakuja anaingia kwenye gari ya jamaa, anaweza kaa hata dakika 20, analiwa mambo na gari inatikisika tu halafu ilikua full tinted, basi mchezo unaendelea baada ya muda binti tena Mwanafunzi anatoka macho yamekua mekundu na gari inatimua zake na binti keshaliwa....
Ama kweli huu ni uchafu tena watu walikua wanafnya hadharani na mwenye akili ya haraka ilikua ni rahisi kugundua, na enzi hizo za uanafunzi na akili za kitoto lazima habari iwe imesambaa na tulikua tunaiweka mpaka kwenye gazeti letu la Shule juu ya Notice Board
 
Mnamo mida ya chakula cha mchana (lunch time) na nikiwa katika hekaheka na pilikapilika za maisha, nilijikuta karibu kabisa na sehemu ya maegesho ya magari katika maeneo ya Magogoni karibu kabisa na ofisi za shirika la afya la dunia (WHO). Wakati nikijongea ofisi za jirani katika shughuli zangu za kila siku nilikutana na mdada mrembo akiwa mbio mbio kuelekea kwenye gari aina ya 'Mark II 100' ambayo ilikuwa na vioo vya giza nene ukiacha sehemu ndogo za kioo cha nyuma(Huyu dada alikuwa anatokea ndani ya ofisi za WHO).
Niligeuza shingo kushuhudia urembo wa huyo dada na nilimsindikiza kwa macho yangu mpaka alipoingia kiti cha abiria cha hiyo gari tajwa hapo juu. Niliamua kuendelea na hamsini zangu mpaka ndani ya ofisi ya jirani.
Bahati mbaya mwenyeji wangu alikuwa na kikao na nilijaribu kuvuta subira lakini nikaamua baada ya kama dakika kumi hivi, kwamba ni vema nikaendelea na mambo mengine.
Nikiwa narudi niliweza kuliona lile gari tajwa hapo juu likiwa limewaka lakini madirisha yote yamefungwa na huku nikistaajabu niliweza kumwona yule dada aliyeingia ndani ya gari tajwa hapo juu akiwa kama amepandisha 'mashetani' ndani ya hiyo gari manake sehemu ya kioo cha nyuma katika kulikuwa hakuna 'tinted'. Mwanzo nilifikiri labda amepatwa na jambo lakini kadri nilivyokuwa nikisogelea lile gar indo nilivyopata picha halisi. Mrembo Yule kumbe alikuwa katika 'gemu' ya kiutu uzima akitoa chakula cha mchana kwa mdadi wa hali ya juu. Jamaa yeye alikuwa anasikilizia! Kuona hivyo nikaamua kujiondoa eneo hilo kwa haraka sana manake sikutaka kuwakatisha hamu ya 'chakula cha mchana'

Angalizo: Bahari hailindwi, uaminifu katika mapenzi ni muhimu!

....kiu ya nanihii haipewi soda wala uji.... Huenda alikuwa ni mumewe bana 😎
 
Back
Top Bottom