Mtu jamii fulani wanaweza tengeneza imani ya jambo fulani kwa mda mrefu, ikawa kama ndio reality yao,na kwenye jamii nyingine jambo hilo likawa ujinga tu na lisilo na maana yoyote.kwa kweli sio kua nimeanza jana kuchoma no nishachoma sanaa sana na sjawah ona chochote kikitokea kwenye hii dunia ya macho ya nyama sjui huko kiroho
nimekupata vyema, kwamba nitakavyochukulia itakua hivohivo.Mtu jamii fulani wanaweza tengeneza imani ya jambo fulani kwa mda mrefu, ikawa kama ndio reality yao,na kwenye jamii nyingine jambo hilo likawa ujinga tu na lisilo na maana yoyote.
Ila Afirika....haifai kufanya hivo kama utachoma nguo yako iko connected na mambo ya kiroho haswa yako manaa unakua unaivaa hivo ukichona nuia mimi na ww tumeachaa kuanzia leo sasa na kuidekia pia et unajirudisha nyuma
Utaratibu wa ku-dispose vitu chakavu ukoje? Sisi huku japo ni kijijini huwa tunatupa kwenye shimo la taka na baadaye watu wa usafi huvipeleka Dampo.? Kumbuka huko Dampo kuna baadhi ya watu huokota huko.nii
fanyaje??
Mkuu, Unadhani huyo aliyekuwa anaivaa alishindwa kuichoma?? Samahani nikupe kauzoefu kangu kidogo: Huko Denmark huruhusiwi kujiwashia moto hovyo eti unachoma takataka. Hiyo sio kazi yako - Wapo wenye kazi hiyo.Mi nadhani ni Imani tu.
Nguo yenyewe utakuta ya mtumba waliotengeneza ni watu wa nje ya nchi na ilishavaliwa na mtu hata humjui.
Hujaelewa mada soma vizuri mada then uje utoe tena maoni.Mkuu, Unadhani huyo aliyekuwa anaivaa alishindwa kuichoma?? Samahani nikupe kauzoefu kangu kidogo: Huko Denmark huruhusiwi kujiwashia moto hovyo eti unachoma takataka. Hiyo sio kazi yako - Wapo wenye kazi hiyo.
Taka aina tofauti-tofauti hutupwa kwenye mapipa zikiwemo pia na zile nguo-taka. Hizo nguo-taka huchambuliwa (sorted)na zile zinazoonekana zinaweza kutumika mahali pengine e.g. huko Tz, hutakaswa (sterilised) graded na kufungashwa marobota na kusafirishwa kama msaada au kuuzwa kama mitumba. i.e. nguo-taka zinakuwa Recycled. Hata chupi za mitumba ziliwahi kuwepo hapa Tz.
In short usichome wewe acha wanaolipwa kwa kazi hiyo waifanye. Zile ambazo ni "special case" choma au tumbukiza shimoni zijiozee zenyewe.
Inawezekana sijaelewa mada lakini mbona mtoa mada amesema 'Naomba kuuliza hii imekaaje kwa wale wanaojua mambo ya spiritual, kuhusu kuchoma nguo ambayo unaona imeisha na huwezi kuigawa solution ni kuchoma, je unaichoma tu moto au kuna manuizi fulani unanuia ........Hujaelewa mada soma vizuri mada then uje utoe tena maoni.