Hii inatisha aisee! Nimemkosa binti wa kinyantuzu hivi hivi eti kisa ng'ombe

Hii inatisha aisee! Nimemkosa binti wa kinyantuzu hivi hivi eti kisa ng'ombe

Omopa

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2022
Posts
335
Reaction score
1,466
Aisee jamani inafikia hatua mwanadamu anauzwa kama kama nguo kwenye Gulio? Kuna msemo mmoja sisi wazaramo tunausema cheza ka ncheza yaani sio poa mwenye power ndio atavuna mpaka nimekata tamaa sasa

Kuna theory moja inaitwa struggle for fittest yaani mwenye power ndio atapata asie na nguvu imekula kwake hiyo the same to me mimi na uzaramo wangu nikaremba mwandiko eti nitoe 800000 aisee hii ilikuwa kosa Kuna lisukuma limoja likatoa ng'ombe 50 aisee! game likaisha mwenye nguvu likanyanyua mke mie nikapigwa chini

Ifike hatua ndugu zangu wasukuma msipende kuwachagulia watoto wenu wanaume wa kuwaoa mnawakosesha haki zao za msingi msiwaozeshe watoto wenu eti kisa mali tu!
 
Aisee jamani inafikia hatua mwanadamu anauzwa kama kama nguo kwenye Gulio? Kuna msemo mmoja sisi wazaramo tunausema cheza ka ncheza yaani sio poa mwenye power ndio atavuna mpaka nimekata tamaa sasa

Kuna theory moja inaitwa struggle for fittest yaani mwenye power ndio atapata asie na nguvu imekula kwake hiyo the same to me mimi na uzaramo wangu nikaremba mwandiko eti nitoe 800000 aisee hii ilikuwa kosa Kuna lisukuma limoja likatoa ng'ombe 50 aisee! game likaisha mwenye nguvu likanyanyua mke mie nikapigwa chini

Ifike hatua ndugu zangu wasukuma msipende kuwachagulia watoto wenu wanaume wa kuwaoa mnawakosesha haki zao za msingi msiwaozeshe watoto wenu eti kisa mali tu!
Wanyantuzu unawachezea ww🤣🤣
 
Aisee jamani inafikia hatua mwanadamu anauzwa kama kama nguo kwenye Gulio? Kuna msemo mmoja sisi wazaramo tunausema cheza ka ncheza yaani sio poa mwenye power ndio atavuna mpaka nimekata tamaa sasa

Kuna theory moja inaitwa struggle for fittest yaani mwenye power ndio atapata asie na nguvu imekula kwake hiyo the same to me mimi na uzaramo wangu nikaremba mwandiko eti nitoe 800000 aisee hii ilikuwa kosa Kuna lisukuma limoja likatoa ng'ombe 50 aisee! game likaisha mwenye nguvu likanyanyua mke mie nikapigwa chini

Ifike hatua ndugu zangu wasukuma msipende kuwachagulia watoto wenu wanaume wa kuwaoa mnawakosesha haki zao za msingi msiwaozeshe watoto wenu eti kisa mali tu!
Tatizo wazaramo maneno mengi
 
Hakuwepo kwenye kikao,wala hakuuliza muhutasari.Anapaswa amshukuru huyo msukuma aliyekuja kumzidi.Angekuja kutusumbua baadaye
Tutaitisha tena kikao, hawa wavivu wa kuhudhuria vikao ndo shida hii.
 
Back
Top Bottom