atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Hao hapo jinsi wanavyotumbua mimacho mpaka unawaonea huruma[emoji23][emoji23]Ndio zao hizo kuna mambo nilikutana nayo badoo tukaenda makumbusho bar pale Igoma imekuja na nyomi ya rafiki nikawapimia wakaagiza baadae nikamwita muhudumu nikalipia vinywaji vyangu na kusepa... Alinitumbulia mimacho kweli nikamwambia nasepa sijakuita uniletee kijiji
Hapoo.sasa yaan ni vibeeee.Sasa loose ball hizo mwanawane unatakiwa uzihudumie na kwenda kupiga 3some murwaaaa
Igoma ndio wapi mkuu?Ndio zao hizo kuna mambo nilikutana nayo badoo tukaenda makumbusho bar pale Igoma imekuja na nyomi ya rafiki nikawapimia wakaagiza baadae nikamwita muhudumu nikalipia vinywaji vyangu na kusepa... Alinitumbulia mimacho kweli nikamwambia nasepa sijakuita uniletee kijiji
Mwanza mkuuIgoma ndio wapi mkuu?
Duh...hivi huko badoo na tinder kuna madem au malaya?Mwanza mkuu