Hii inawahusu slay queens

Hii inawahusu slay queens

atlas copco

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2015
Posts
8,497
Reaction score
9,728


Jaman dada zangu hasa maslay qeen mnapoenda kwenye majumba ya starehe jitahidin muwe hata na hela za kianzio wakati mnavizia madanga yajichanganye, hakika nimewaonea huruma sana hawa wakina dada




 
Ndio zao hizo kuna mambo nilikutana nayo badoo tukaenda makumbusho bar pale Igoma imekuja na nyomi ya rafiki nikawapimia wakaagiza baadae nikamwita muhudumu nikalipia vinywaji vyangu na kusepa... Alinitumbulia mimacho kweli nikamwambia nasepa sijakuita uniletee kijiji
 
Ndio zao hizo kuna mambo nilikutana nayo badoo tukaenda makumbusho bar pale Igoma imekuja na nyomi ya rafiki nikawapimia wakaagiza baadae nikamwita muhudumu nikalipia vinywaji vyangu na kusepa... Alinitumbulia mimacho kweli nikamwambia nasepa sijakuita uniletee kijiji
Hao hapo jinsi wanavyotumbua mimacho mpaka unawaonea huruma[emoji23][emoji23]
 
Ndio zao hizo kuna mambo nilikutana nayo badoo tukaenda makumbusho bar pale Igoma imekuja na nyomi ya rafiki nikawapimia wakaagiza baadae nikamwita muhudumu nikalipia vinywaji vyangu na kusepa... Alinitumbulia mimacho kweli nikamwambia nasepa sijakuita uniletee kijiji
Igoma ndio wapi mkuu?
 
Sasa hao si ni watoto wamefikisha hata 20 years kweli. Dah sijui wana njaa 😔 Africa yetu hii watoto wanajilea.
 
Back
Top Bottom