Hii inawahusu wanaume wote wenye haiba za kike kike

Hii namba 7 hii..hataaaa! lazma iwe inatoka kwa a woman with modern female perspective!
 
We nawe peleka utoto wako huko nyie ndo wanukaa pum** hiyo namba 40hapa mjini unaachaje kuoga hata mara mbili kwa siku???we na unayemlala wote wanuka shombo mi mwanaume asiyeogaa namuonaga kama budege
Raha ya mwanaume anukie kama beberu wewe acha ujinga.
 
We nawe peleka utoto wako huko nyie ndo wanukaa pum** hiyo namba 40hapa mjini unaachaje kuoga hata mara mbili kwa siku???we na unayemlala wote wanuka shombo mi mwanaume asiyeogaa namuonaga kama budege
Kasema zaidi ya mara tatu kwa siku
 
Umesahau na hii mtoa mada " mwanaume kuweka I'd ya kike kwenye social media " [emoji23]
 
Hahahahahahah...... wamekuelewa vizuri kabisa na wanashukuru kwa kuwatakia heri ya siku ya wanawake
 
Umekuja kunitangazia huku nilivyokataa kukupisha kwenye mwendo wa kasi.... [emoji23]
Sasa je...kukuangalia kote kule ukajifanya uko bussy na simu yako..na una bahati nilitaka nikukanyage kwa makusudi
 
Hayo yote kumi si kitu mbele ya mwanaume mashine.
 
Sasa je...kukuangalia kote kule ukajifanya uko bussy na simu yako..na una bahati nilitaka nikukanyage kwa makusudi
Jamani... Kwa uzuri wako tu ulivyo mrembo nikashindwa hata kusimama mwenzio.... Hizi mwendo kasi siyo nzuri mapigo ya moyo lazima yaende kasi. [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…