Wewe broo weweVery simple, yaani hapo alikua anamwambia pilot aliekua mbele yale kwamba.... Ampishe kwasababu ameziba njia... tehteehhh
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wewe broo wewe
Hiyo ni photoshop...
Kwa hali ya hewa ilivyokua angani huyo jamaa sura ingepauka na kua kavu...
Kwa jinsi ndege inavyakata upepo nywele zingekua hazifai, domo lingelegea na kutepeta meno yote nje asingeweza kufunga mdomo wala kupumua vizuri...
Angechomoka dirishani... kwa sababu ni kioo cha mbele ndege kwa ujumla isingebaki salama...
Cc: mahondaw