Hahahahahukiona ivo jiongeze unapoandka barua weka ata msimbaz.mi kuna sehem niliwah andka barua baada ya sku 3 nikaitwa ofisin cha ajabu kila nikimchek boss analalamika anaskia njaa wakat ilikuw asubuh sana,nilimjibu:boss ungeenda kula nyumban daaaaaah! alinijibu asante na story zkaishia apo apo na kaz nikakosa