Hii inawezekanaje?

Hii inawezekanaje?

Regent

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2020
Posts
2,306
Reaction score
3,569
Hii inawezekanaje nilipeleka maombi ya kazi taasisi fulani leo napigiwa simu kutoka hiyo ofisi baada ya habari naulizwa

“wewe ni mzazi wa mwanafunzi fulani”

Kuna mtu kanipiga ndagu nini nikiSubmitt maombi documents zangu zinageuka faili za mzazi(jokes).
 
Ukiona ivo jiongeze unapoandka barua weka ata msimbaz.mi kuna sehem niliwah andka barua baada ya sku 3 nikaitwa ofisin cha ajabu kila nikimchek boss analalamika anaskia njaa wakat ilikuw asubuh sana,nilimjibu:boss ungeenda kula nyumban daaaaaah! alinijibu asante na story zkaishia apo apo na kaz nikakosa
 
ukiona ivo jiongeze unapoandka barua weka ata msimbaz.mi kuna sehem niliwah andka barua baada ya sku 3 nikaitwa ofisin cha ajabu kila nikimchek boss analalamika anaskia njaa wakat ilikuw asubuh sana,nilimjibu:boss ungeenda kula nyumban daaaaaah! alinijibu asante na story zkaishia apo apo na kaz nikakosa
Hahahahah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dah nimecheka kishenzi[emoji23][emoji23][emoji23]
 
🤣🤣🤣🤣 Jamani
 
Back
Top Bottom