Wengi wetu naamini mnajha kwa kina jinsi monii na Roma walivyokua washikaji..Na hata lile tukio la kutekwa walitekwa wote.....Sasa shida imekuja baada ya kurudi uraiani wamekua sio washikaji tena je kuna nini kati yao hapa wadau???
Nashukuru kwa kunipa shule. Nilitaka kuuliza kuhusu SENTRO ZONE!Mtoto wa majengo sokoni... Dodoma, anajua sana huyu dogo.
Moni anadai eti baadaa ya kutekwa na kuachiwa Roma aliwambia kuwa wasiliongelee lile tukio wala kuliimba, na ndiyo maana Moni alitangulia toa wimbo lakini hakuimba kuhusu hilo tukio kasoro mstari mmoja tu ambapo anasema sijui alishafungwa chini siku kadhaa bila kuliona juaWengi wetu naamini mnajha kwa kina jinsi monii na Roma walivyokua washikaji..Na hata lile tukio la kutekwa walitekwa wote.....Sasa shida imekuja baada ya kurudi uraiani wamekua sio washikaji tena je kuna nini kati yao hapa wadau???
Yap namimi ndio nilivyosikiaMoni anadai eti baadaa ya kutekwa na kuachiwa Roma aliwambia kuwa wasiliongelee lile tukio wala kuliimba, na ndiyo maana Moni alitangulia toa wimbo lakini hakuimba kuhusu hilo tukio kasoro mstari mmoja tu ambapo anasema sijui alishafungwa chini siku kadhaa bila kuliona jua
Kumbe mwenzao alikuwa anawalaghai kuwa ni hatari kuliongelea wasiinbe ili aje aimbe yeye kuhusu hilo tukio akiki peke yake.
nashukuru snaaaa kakaMoni anadai eti baadaa ya kutekwa na kuachiwa Roma aliwambia kuwa wasiliongelee lile tukio wala kuliimba, na ndiyo maana Moni alitangulia toa wimbo lakini hakuimba kuhusu hilo tukio kasoro mstari mmoja tu ambapo anasema sijui alishafungwa chini siku kadhaa bila kuliona jua
Kumbe mwenzao alikuwa anawalaghai kuwa ni hatari kuliongelea wasiinbe ili aje aimbe yeye kuhusu hilo tukio akiki peke yake.