4X4byfar
JF-Expert Member
- Oct 29, 2008
- 201
- 21
Za leo wa ndungu;
Nimekuwa nikikojoa mkojo naunapo karibia kuishia naumwa sana ukeni? Then baada ya ya kupangusa naona vijidamu kidogo kwenye tissue. Najisikia vibaridi jioni nakukosa hamu ya kula. Leo nisiku ya tatu kusikia hayo maumivu yalianza juzi jioni. Ila leo kutwa damu haijatoka imebakia maumivu tuu. Hospitali kwa mtaalamu mpaka j,3. Msaada plz nini hii jamani.
Nimekuwa nikikojoa mkojo naunapo karibia kuishia naumwa sana ukeni? Then baada ya ya kupangusa naona vijidamu kidogo kwenye tissue. Najisikia vibaridi jioni nakukosa hamu ya kula. Leo nisiku ya tatu kusikia hayo maumivu yalianza juzi jioni. Ila leo kutwa damu haijatoka imebakia maumivu tuu. Hospitali kwa mtaalamu mpaka j,3. Msaada plz nini hii jamani.