Hii itakuwa nini jamani!!!

Hii itakuwa nini jamani!!!

4X4byfar

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
201
Reaction score
21
Za leo wa ndungu;

Nimekuwa nikikojoa mkojo naunapo karibia kuishia naumwa sana ukeni? Then baada ya ya kupangusa naona vijidamu kidogo kwenye tissue. Najisikia vibaridi jioni nakukosa hamu ya kula. Leo nisiku ya tatu kusikia hayo maumivu yalianza juzi jioni. Ila leo kutwa damu haijatoka imebakia maumivu tuu. Hospitali kwa mtaalamu mpaka j,3. Msaada plz nini hii jamani.
 
As unasubiri kwenda hospitali kupima damu na mengine kunywa maji mengi, una dalili zote za advanced urinal infection (I am not a Doctor lakini).
 
Inawezekana ni urinary tract Infection, STD au medication allergy. subiria jumatatu ukapate ka dozi kako for the time being tafuna ka kitunguu saumu tembe moja au mbili (sio kitunguu kizima) kwa siku (wanasemaga haka kakitunguu ni natural antibiotic) na avoid sex.

N:B. Nina F ya baioloji form 4
 
Zote dalili ulizotaja hapo nafikiri utakuwa na urinary tract infection ambayo huenda ikawa ni simple cystitis au pyelonephritis kwa hiyo cha muhimu nenda hospitari ukachukue vipimo, pili hakikisha unatumia juice na chakula ambazo zina sukari kidogo kupunguza kuzaliana kwa bacteria . Tatu kunywa maji ya kutosha 8 glass ili kufurashi bacteria .Nne fanya mazoezi kuanzia dakika 30 siku tano kwa kila wiki moja . Avoid sex kama klorockwini alivokuelekeza wakati wa dose.
 
Jamani asanteni sana sana tena sana, maana nilianza kupata ka presha kwa kuwa toka kuzaliwa sijawahi kupata damu kutoka kwenye mkojo. Kwa kweli hata hamu ya kula imepungua kwa sana tuu alafu vitu vya sukari hamu imekatika ghafla tuu. Ngoja ifike hio j3 nikapime mweee! Thanks once again kwa majibu yenu.
 
Choo kidogo kuchanganyika na damu mwishoni yawezekana kuwa UTI, na kichocho.
 
Tafuta systemic alkaliser. Ama mist potassium citrate au disodium citrate. Yonyesha hunywi maji ya kutosha. Umepata a case of bladder calculii na UTI. Kuna vijiwe vidogo unavikojoa na vinakupa maumivu na vina sababisha infection.

Nunuwa CITAL LIQUID na utumie 15mls kwenye glasi ya maji x 3 kwa siku. Hii ni best. GOOD LUCK.
 
le dada angu! kesho ukamwone dr. ila inaelekea hunywi maji yakutosha ww! kunywa maji mengi atlist hata lita 2 na nusus per day
 
Kwa wapendwa waliosema sinywi maji ni kweli kabisa kwa siku naweza kupitiliza bila kunywa maji kabisa! Yani ndivyo nilivyo na sina kiu kabisa. Ila kwa sasa nimejifunza somo zuri sana. Mnajua nini kabla ya haya matatizo kunipata nilianza kunywa maji ya vuguvugu yaliochangwanywa na asali ya 1tbs(hii receipt niliipata humu jf) kuwa inasaidia nadhani ku detoxify mwili! sasa baada ya kama siku 5 hivi ndo nikaanza kujisikia hivyo. Kwa uoga nikaachana na hio receipt kabisa. Sasa sijui ndo iliofanya hayo mawe (kama doctorz) alivyosema? Ila nimeweka appointment na nimepewa mda wa kuchekiwa, though hata wao hospitali wamesema ntakuwa na Urinary infection.

Jamani nawashukuru sana wana jf you made me feel good kwa umoja wenu kwa kweli, mbarikiwe sana wapendwa.
 
Back
Top Bottom