Kwa wapendwa waliosema sinywi maji ni kweli kabisa kwa siku naweza kupitiliza bila kunywa maji kabisa! Yani ndivyo nilivyo na sina kiu kabisa. Ila kwa sasa nimejifunza somo zuri sana. Mnajua nini kabla ya haya matatizo kunipata nilianza kunywa maji ya vuguvugu yaliochangwanywa na asali ya 1tbs(hii receipt niliipata humu jf) kuwa inasaidia nadhani ku detoxify mwili! sasa baada ya kama siku 5 hivi ndo nikaanza kujisikia hivyo. Kwa uoga nikaachana na hio receipt kabisa. Sasa sijui ndo iliofanya hayo mawe (kama doctorz) alivyosema? Ila nimeweka appointment na nimepewa mda wa kuchekiwa, though hata wao hospitali wamesema ntakuwa na Urinary infection.
Jamani nawashukuru sana wana jf you made me feel good kwa umoja wenu kwa kweli, mbarikiwe sana wapendwa.