Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
kwanza nianze kwa kutoa pole kwa tasnia ya sanaa hasa za maigizo ambao wamekuwa na mfululizo wa misiba ya wasanii nguli na chipukizi
Hebu wakuu tujadili kidogo, itifaki inayotumika katika kuzika wasanii wetu inatumia vigezo gani?
wapo ambao walizikwa ama kuagwa na viongozi wakuu kwa wadogo wakiwemo Mh Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa etc na wengine kavukavu.
Nadhani mmenielewa na tufungue mjadala
Hebu wakuu tujadili kidogo, itifaki inayotumika katika kuzika wasanii wetu inatumia vigezo gani?
wapo ambao walizikwa ama kuagwa na viongozi wakuu kwa wadogo wakiwemo Mh Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa etc na wengine kavukavu.
Nadhani mmenielewa na tufungue mjadala
View attachment 163915
JK Msiba wa Sajuki





