Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii inategemea na umaarufu wa mtu Amavubi.....
Unajua kweli inategemea umaarufu wa mtu.Ndio maana hata wananchi wakawaida kwa Kanumba mlijaza Leaders lakini wa Tyson,Kuambiana hamkujaza Leaders kwanini?Wewe mimi nilikuona umezimia kwenye msiba wa Kanumba au unabisha?Mbona wa mzee small hata kwenye comments zako sijaona RIP.
Ngoja nitafute umaarufu
Kweli inategemeana na umaarufu wa mtu tu na si kingine
mtumikie(........) mkuu upate mradi wako
hii inategemea na umaarufu wa mtu Amavubi.....
Unajua kweli inategemea umaarufu wa mtu.Ndio maana hata wananchi wakawaida kwa Kanumba mlijaza Leaders lakini wa Tyson,Kuambiana hamkujaza Leaders kwanini?Wewe mimi nilikuona umezimia kwenye msiba wa Kanumba au unabisha?Mbona wa mzee small hata kwenye comments zako sijaona RIP.
Ngoja nitafute umaarufu
duh, umeua sana hapa
kwanza nianze kwa kutoa pole kwa tasnia ya sanaa hasa za maigizo ambao wamekuwa na mfululizo wa misiba ya wasanii nguli na chipukizi
Hebu wakuu tujadili kidogo, itifaki inayotumika katika kuzika wasanii wetu inatumia vigezo gani?
wapo ambao walizikwa ama kuagwa na viongozi wakuu kwa wadogo wakiwemo Mh Rais, Waziri Mkuu, Wakuu wa Mikoa etc na wengine kavukavu.
Nadhani mmenielewa na tufungue mjadala