Hii Itifaki ya Kuzika Wasanii Imekaaje?

hii inategemea na umaarufu wa mtu Amavubi.....


Ngoja nitafute umaarufu

Kweli inategemeana na umaarufu wa mtu tu na si kingine

Au unaweza kutuma maombi Ikulu kua ukifa utembelewe na Rais. Na ikiwezekana kuwe na dau ili kuongeza kipato cha TRA.
 
hii inategemea na umaarufu wa mtu Amavubi.....


Ngoja nitafute umaarufu

duh, umeua sana hapa

hahahahha! maanake naona wanagombea kutembelewa na Rais wakifa.
 

Pilitical mileage.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…