Mtukutu Mkuu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2022
- 1,117
- 1,403
- Thread starter
- #21
Portable matata Sana yakwenda nayo beach hiiHata mzee me niko nayo ofsn somtsm naiosha kbs za sabuni waterproof hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Portable matata Sana yakwenda nayo beach hiiHata mzee me niko nayo ofsn somtsm naiosha kbs za sabuni waterproof hiyo
Kweli yaani hata sabufa inasoma namba hapani umasikini tu unatusumbua jaman,hivi vitu hata ukiazima kwa mwenye nacho ukasikiliza utapata hasira z akutafuta hela sana.
kuna jamaa alikuja na charger 5,ilikuwa ni kisanga hakuna wimbo utakuboa kuusikia.
juzi nilikuwa kkoo,nikakuta jamaa ana ya oraimo,imetengenezwa kama homepod ya apple ile first gen,wanauza 180000,nusra nichane wallet,kusikia huo mziki wake nikasepa bila hata kutoa maelezo ya msingi[emoji28]
Charger 5 kubwa lake flip 5 NI Moto mnoJbl charger 5 iko kwa wazungu nasubiri shipping ifanyike. Wengine kusikiliza mziki ni burudani.
Jbl napenda speaker yake ilivyo tengeneza ni kusikiliza kwa mita chache sio kelele kama brand za kariakoo
Hiyo boom mjumbe anakuja anakula burudan alafu anakupa notsi [emoji16][emoji16]Charger 5 kubwa lake flip 5 NI Moto mno
Charger 5 kubwa lake flip 5 NI Moto mhahaaa
Charger 5 kubwa lake flip 5 NI Moto mnoHahaaa umechelewa sana sana sana yaani kuinjoiCharger 5 kubwa lake flip 5 NI Moto mno
Shukran nilipata bahati ya kusikiliza zote mbili Anker na JBL lakin haya masikio yakadata na JBL vibe mpaka Moyon unafall
Charger 5 NI Kubwa yake flip 5 mzeeMzee mbona husemi kama kuna utofauti wa hayo madude charger 5 na flip 5….
Ipi ni nzuri zaid kama ni tofaut
Kuna laki nane unusu na boom box kubwa 1.6M 😁Ikichaa na upgrade mpaka tufike JBL Boom [emoji16][emoji442]
Pesa zinatafutwa bob nitaivuta Tu kwani inatumia mafutaKuna laki nane unusu na boom box kubwa 1.6M [emoji16]
Sound quality zote ni nzuri na amazing Ila charg 5 ina quality clean sound ya juu Kidogo Na base NI iko juu kuliko flip 5Mzee mbona husemi kama kuna utofauti wa hayo madude charger 5 na flip 5….
Ipi ni nzuri zaid kama ni tofaut
Bei za kibongo akati hio price nje ni less ila mfano hapo ukiwa na pesa hio ningedaka soundcore boom la Anker tuHuto tu speaker tudogo ndo 250,000!
[emoji16][emoji16][emoji16]Kama unawasha ndinga vile[emoji38][emoji3]
B
Bei za kibongo akati hio price nje ni less ila mfano hapo ukiwa na pesa hio ningedaka soundcore boom la Anker tu
Sijaelewa hapa inamaana inakishindo kuzidi hizi subwoofer kubwaKweli yaani hata sabufa inasoma namba hapa
Mi nashangaa vi speaker vidogo hivyo ndio viwe na bei hiyo, kwanza vina base nzito kweli ya kutikisa madirishaHuto tu speaker tudogo ndo 250,000!