Vunja bei hakuwa amejipanga kufanya production ya maana ktk hizi jezi, kwahiyo akaona bora atafute mtu mwenye uzoefu na mwenye pesa ya kuweza kumsaidia kupata hizo jez.
Akaenda kwa GSM, Barcode na QR code zote ukiscan ilikuwa inakuletea nguo zinazomilikuwa na GSM, yamkini GSM alifanya hivi ili Vunjabei huko mbeleni asije akamgeuka ndo maana akatumia barcode zake.
Tafuta nyuzi za mwaka jana tulizungumzia kwa mapana hili sakata. Labda nikuongezee kitu kimoja cha kutafakari, unafikiri ni kwanini Jezi za Simba zimekata mapema sana? Hakukuwa na Marketin Research kujua demand?
Ishu ilikuwa ni mtaji wa kutosha, mwaka jana vunjabei alishirikiana na GSM kufanya production ya uhakika na sote kwa sehemu tuliona hakukuwa na changamoto kubwa kama ya msimu huu.
Huu ni ndio uhalisia, nimeweka pembeni uSimba na uYanga, kama hutanielewa hapa, basi wengine wataendelea pale nilipoishie kukuelewesha zaidi.
Sent from my SM-G930F using
JamiiForums mobile app