Mkuu uko sahihi boko na salim ayee wote majerui ww kwa maon yako unazani nani anafaa kuitwa mimi kwa upande wangu czan.kama nisawa kumuacha kapombe nazan kunakutokuelewana baina ya kapombe na viongozi wa tff ila kwa maslai ya nchi ilitakiwa waondoe tafauti na kapombe awepoHapo nmezungumzia striker asilia. Idi Nado ni kiungo mshambuliaji km Mzamiru, ,milaji adamu,Mudathili Yahaya,Hasan Dilunga,Sure boy,Abdulazi Makame na Ayubu Lyanga. Jiulize ikitokea Chilunda anaumia nani atasimama mbele km striker wa mwisho? Angalia Azamu mechi ya juzi walivyoteseka kwa kukosa Natural striker au kinachowakumba Yanga kwa sasa. Huo ni mtazamo wangu lakn.Nazani kuna ulazima wa makocha kupitia tena uteuzi wao ili tusije tafta sababu ya kumlaumu mtu