Hii kali Ndailagije kaita timu ya taifa yenye mshambuliaji mmoja tu!!!

Hii kali Ndailagije kaita timu ya taifa yenye mshambuliaji mmoja tu!!!

Hapo nmezungumzia striker asilia. Idi Nado ni kiungo mshambuliaji km Mzamiru, ,milaji adamu,Mudathili Yahaya,Hasan Dilunga,Sure boy,Abdulazi Makame na Ayubu Lyanga. Jiulize ikitokea Chilunda anaumia nani atasimama mbele km striker wa mwisho? Angalia Azamu mechi ya juzi walivyoteseka kwa kukosa Natural striker au kinachowakumba Yanga kwa sasa. Huo ni mtazamo wangu lakn.Nazani kuna ulazima wa makocha kupitia tena uteuzi wao ili tusije tafta sababu ya kumlaumu mtu
Mkuu uko sahihi boko na salim ayee wote majerui ww kwa maon yako unazani nani anafaa kuitwa mimi kwa upande wangu czan.kama nisawa kumuacha kapombe nazan kunakutokuelewana baina ya kapombe na viongozi wa tff ila kwa maslai ya nchi ilitakiwa waondoe tafauti na kapombe awepo
 
Hapo nmezungumzia striker asilia. Idi Nado ni kiungo mshambuliaji km Mzamiru, ,milaji adamu,Mudathili Yahaya,Hasan Dilunga,Sure boy,Abdulazi Makame na Ayubu Lyanga. Jiulize ikitokea Chilunda anaumia nani atasimama mbele km striker wa mwisho? Angalia Azamu mechi ya juzi walivyoteseka kwa kukosa Natural striker au kinachowakumba Yanga kwa sasa. Huo ni mtazamo wangu lakn.Nazani kuna ulazima wa makocha kupitia tena uteuzi wao ili tusije tafta sababu ya kumlaumu mtu
Simba wana Kagere na Bocco dk 180 na wamakonde wamefunga goli moja la penalty...Salah na Mane sio natural strikers ila unaona moto wao
 
Nimefurahi mno kwa kutokuwemo Manula na Kakolanya. Aachwe kipenzi chao langoni mpaka aamue mwenyewe......
 
Mwite Zatara ..
Mkuu, swali linabaki palepale. Je ulitaka aitwe nani!? Kumbuka hii ni mashindano ya wachezaji wa ndani!! .. Kama nchi Hatuzalishi wafungaji... Je kwenye league yetu, ulitaka mshambualiji gani amnaye anafanya vyema na hakuitwa!?
 
Back
Top Bottom