Hii kali Ndailagije kaita timu ya taifa yenye mshambuliaji mmoja tu!!!

Mkuu, swali linabaki palepale. Je ulitaka aitwe nani!? Kumbuka hii ni mashindano ya wachezaji wa ndani!! .. Kama nchi Hatuzalishi wafungaji... Je kwenye league yetu, ulitaka mshambualiji gani amnaye anafanya vyema na hakuitwa!?
Uteuzi mbovu wa huyu mrundi, amekariri wachezaji fulani lazima wacheze.
 
Timu Tanzania, kocha Mrundi. Demit!
Kuna nchi kocha lazima awe mzawa. Lakini kwa Tanzania kila kitu ni upside down.
Rais wa TFF ni Msomali kabisa. Katibu Mkuu ni Mrundi. No wonder, kocha ni Mrundi. Tuendelee kuwalundika. Tunachotafuta tutakipata mapema tu
 
Haya sasa! Ukweli umedhihirika. Siku kocha akimuita Ditram Nchimbi, mnishtue. Kwangu mimi, huyu ni moja ya washambuliaji hatari sana iwapo atapewa nafasi. Ana nguvu, ana kasi na ana jicho la kufunga na pia ni mwepesi wa kutoa msaada (assist).

Hizo ndizo sifa muhimu za mshambuliaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…