Katika pita za kazi unakutana na msichana mnakuwa marafiki wa kawaida mnaendelea kidogo,unaona huyu dada anasubiri
umtamkie kitu kuwa nakupenda sababu anavyokufanyia inaonyesha wewe una mtu tayari katika mahusiano yani mchumba
wewe ukaona hapa cha msingi nikumuweka wazi unamweleza kuwa una mchumba na unaleta unamtaburisha kwa huyo rafiki yako
wanakuwa marafiki ila baadae yule msichana anaanza kukupigia simu marakwa mara na sms sio za ajabu.unaulizwa nna mchumbako kuwa kama mmeshakuwa na uhusiano unasema hapana.SASA KALI INAKUWA SASA WEWE UNAONDOKA KIKAZI KWA MUDA YULE MSICHANA KILA AKIKUTANA NA MCHUMBA WAKO ANAKUULIZIA HATA ANAOMBA PICHA YAKO YAANI HAACHI KUKUTAJA KILA MARA WAKUTANAPO HIKI KITU KINAMUUMIZA MCHUMBA WAKO SANA UTAFANYAJE ILI HALI UMESHAMWELEZA KILA KITU????:embarassed2:
umtamkie kitu kuwa nakupenda sababu anavyokufanyia inaonyesha wewe una mtu tayari katika mahusiano yani mchumba
wewe ukaona hapa cha msingi nikumuweka wazi unamweleza kuwa una mchumba na unaleta unamtaburisha kwa huyo rafiki yako
wanakuwa marafiki ila baadae yule msichana anaanza kukupigia simu marakwa mara na sms sio za ajabu.unaulizwa nna mchumbako kuwa kama mmeshakuwa na uhusiano unasema hapana.SASA KALI INAKUWA SASA WEWE UNAONDOKA KIKAZI KWA MUDA YULE MSICHANA KILA AKIKUTANA NA MCHUMBA WAKO ANAKUULIZIA HATA ANAOMBA PICHA YAKO YAANI HAACHI KUKUTAJA KILA MARA WAKUTANAPO HIKI KITU KINAMUUMIZA MCHUMBA WAKO SANA UTAFANYAJE ILI HALI UMESHAMWELEZA KILA KITU????:embarassed2: