Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,130
- 2,102
Jana Mchepuko wangu kanipigia simu na kuniambia ameibiwa simu yake ya laki8 nikamuuliza wapi? kaniambia ameibiwa mjini, nikampa pole! halafu akaniambia nimpe laki4 na yeye analaki4 akanunue simu nyingine nikamwambia njoo geto uchukue, mida ya saa 12:30 kashafika nikampa laki4 usiku kaondoka kwenda kwao.
Huku nyuma mimi nikavaa mkoti mrefu na maski nikakimbia nikaenda kumsubiria mbele, kaja kafika kwenye kona moja hivi nikaona hapahapa ndo pakumalizia mchezo fasta bila kupoteza muda nikampiga kabari ya maana na kuchukua laki8 yote nikatokomea zangu, kufika geto2 akanipigia simu huku akiwa analia nikamuuliza kulikoni akaniambia amekabwa nakibaka na kunyang'anywa hela yote!
nikamwambia arudi nije nimpe nyingine akaja nikampa laki4 yake na mimi nikabakia na yakwangu halafu akaniomba nimsindikize hadi kwao anahofia kukabwa tena nikamwambia alale ataenda keshoikatiki✅
Maswala yakurudisha maendeleo nyuma hakunaga tena aisee
Ujinga ndio kitu skipendagi
Huku nyuma mimi nikavaa mkoti mrefu na maski nikakimbia nikaenda kumsubiria mbele, kaja kafika kwenye kona moja hivi nikaona hapahapa ndo pakumalizia mchezo fasta bila kupoteza muda nikampiga kabari ya maana na kuchukua laki8 yote nikatokomea zangu, kufika geto2 akanipigia simu huku akiwa analia nikamuuliza kulikoni akaniambia amekabwa nakibaka na kunyang'anywa hela yote!
nikamwambia arudi nije nimpe nyingine akaja nikampa laki4 yake na mimi nikabakia na yakwangu halafu akaniomba nimsindikize hadi kwao anahofia kukabwa tena nikamwambia alale ataenda keshoikatiki✅
Maswala yakurudisha maendeleo nyuma hakunaga tena aisee
Ujinga ndio kitu skipendagi