Hii kasi ya Marekani kujisogeza kwetu baada ya kifo cha Rais Magufuli inatia shaka

Watanzania nawapenda sana na kejeli zenu, kama kweli unataka kusema kwa nini huitaki serikali yako irejeshe pesa walizopewa na EU kupambana na corona? EU wenyewe wamelishasema wanataka kujua mmezifanya nini pesa hizo? Rejesheni pesa za watu kwanza halafu ndio mje na jeuri za kimasikini!

Rejesheni mamilioni haya!!!!

 
Mi binafsi nilishasahau zile habari za USAIDS
 
Jifunze 'international etiquette' kwanza, then changia hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…